Pigo kubwa na lenye madhara kwa Chama cha Walimu Tanzania

Hahahaha! Hatari sana. Sasa kama walimu wanashindwa kujipambania, je, wataweza kuzalisha wasomi wenye uwezo wa kuhoji?
 
Ukitoa kujua kiini cha migogoro CWT ni ilo genge la wanasiasa waliokua na mirija cwt sasa imekatwa,ukisoma taarifa hii utajua kwa undani ,faiza fox njoo FaizaFoxy njoo usome huu uzi upate undani ,hapa wameeleza kwa undani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…