JMWAKA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 739
- 652
Salaam waungwana mafundi Wa ukweli Na wale makanjanja mnaotengeneza hiki huku mnaaribu kile ili turudi kwenu Mara kwa Mara salaam sana
Jama Nina pikipiki yangu aina ya TVS cc150 cha kushangaza kama mwezi sasa hivi inakula mafuta sana mwanzoni nikiweka Lita 2 natumia Siku nzima Na kesho asubuhi inanibeba hadi mzigoni lakinj sasa zaidi ya Lita 3 Na asubuhi lazima niweke mafuta nikitoka nyumbani
Naomba msaada Kwa ushauri tafadhali
Jama Nina pikipiki yangu aina ya TVS cc150 cha kushangaza kama mwezi sasa hivi inakula mafuta sana mwanzoni nikiweka Lita 2 natumia Siku nzima Na kesho asubuhi inanibeba hadi mzigoni lakinj sasa zaidi ya Lita 3 Na asubuhi lazima niweke mafuta nikitoka nyumbani
Naomba msaada Kwa ushauri tafadhali