Pikipiki aina ya TVS inakunywa mafuta balaa

Pikipiki aina ya TVS inakunywa mafuta balaa

Hapana TVS ndio pikipiki bora na ngumu zaidi Tanzania.
Haitakiwi kuibadiri Piston Ring hizo Ring huwa ni stable sana hata miaka 3 bila zigusa zinakaa!..
TVS haiguswiguswi Piston ring, Mkono, Block wala chochote cha kwenye Engine mpaka ipite mwaka 1 au miaka 2.
Cha kufanya aende kwa fundi amsafishie Carbulator yake na acheki Spark Plug kama chafu asafishe au anunue TVS Genuine Plug nyingine!. Akishasafishiwa aanze ikadiria pikipiki ni kwa umbali gani inakunywa mafuta (HLX150 ni 55Kms - 60Kms, HLX125 ni 65Kms - 70Kms per 1ltr).
Kingine aangalie Oil anayotumia anatakiwa tumia 20W50 mafundi wengi wa mtaa wanatumia 20W40 ambayo ni special kwa gari (laini)!.
JMWAKA ukifanya yote hayo na tatizo bado nitafute PM!.
Mkuu we ni fundi nn

uko vzuri asee

Embu nambie Bajaj Pulser 150 ziko vzuri?
 
Sorry na mimi napindisha kidogo mada..... Samahani kwa Dar ni duka gani wanauza vifaa vya pikipiki aina ya TVS King 125HLX kwa bei nafuu?
Campuni ya Car and General ndiyo wauzaji na wamiliki wa brand ya Tvs.karibu Posta opposite na Nssf tower ama Benjamini tower.
 
Hapana TVS ndio pikipiki bora na ngumu zaidi Tanzania.
Haitakiwi kuibadiri Piston Ring hizo Ring huwa ni stable sana hata miaka 3 bila zigusa zinakaa!..
TVS haiguswiguswi Piston ring, Mkono, Block wala chochote cha kwenye Engine mpaka ipite mwaka 1 au miaka 2.
Cha kufanya aende kwa fundi amsafishie Carbulator yake na acheki Spark Plug kama chafu asafishe au anunue TVS Genuine Plug nyingine!. Akishasafishiwa aanze ikadiria pikipiki ni kwa umbali gani inakunywa mafuta (HLX150 ni 55Kms - 60Kms, HLX125 ni 65Kms - 70Kms per 1ltr).
Kingine aangalie Oil anayotumia anatakiwa tumia 20W50 mafundi wengi wa mtaa wanatumia 20W40 ambayo ni special kwa gari (laini)!.
JMWAKA ukifanya yote hayo na tatizo bado nitafute PM!.
Wick ,,kwa nin TVs wengi wanalalamika carburetor inashid? TVs 125 na boxer 125 IPI inakula mafuta kidogo?
 
Wick ,,kwa nin TVs wengi wanalalamika carburetor inashid? TVs 125 na boxer 125 IPI inakula mafuta kidogo?
Inawezekana fundi anayemrekebishia carbulator unajua kubana carbulator napo inahitaji utaalam wake!.. But yeah Carbulator zao huwa zinasumbua ila ikibanwa vizuri unasahau tatizo!..
HLX125 ipo vizuri zaidi ya BM125 sababu niliyoona ni ring piston za BM125 huwa zinawahi choka na unajua Ring zikichoka nini kinafata (siongelei kusmoke)
 
Inawezekana fundi anayemrekebishia carbulator unajua kubana carbulator napo inahitaji utaalam wake!.. But yeah Carbulator zao huwa zinasumbua ila ikibanwa vizuri unasahau tatizo!..
HLX125 ipo vizuri zaidi ya BM125 sababu niliyoona ni ring piston za BM125 huwa zinawahi choka na unajua Ring zikichoka nini kinafata (siongelei kusmoke)
nini hufuata mkuu?
 
Hapana TVS ndio pikipiki bora na ngumu zaidi Tanzania.
Haitakiwi kuibadiri Piston Ring hizo Ring huwa ni stable sana hata miaka 3 bila zigusa zinakaa!..
TVS haiguswiguswi Piston ring, Mkono, Block wala chochote cha kwenye Engine mpaka ipite mwaka 1 au miaka 2.
Cha kufanya aende kwa fundi amsafishie Carbulator yake na acheki Spark Plug kama chafu asafishe au anunue TVS Genuine Plug nyingine!. Akishasafishiwa aanze ikadiria pikipiki ni kwa umbali gani inakunywa mafuta (HLX150 ni 55Kms - 60Kms, HLX125 ni 65Kms - 70Kms per 1ltr).
Kingine aangalie Oil anayotumia anatakiwa tumia 20W50 mafundi wengi wa mtaa wanatumia 20W40 ambayo ni special kwa gari (laini)!.
JMWAKA ukifanya yote hayo na tatizo bado nitafute PM!.
Hawa washenz kumbe ndio maana wanajenga kwa kupitia boda boda tu. Yani hizo km 50 mpaka azimalize kashatengeneza 10K
 
Mkuu sory nami nimekumbana na changamoto moja,sina kabisa ujuzi wa aina yeyote ile wa chombo cha moto kiufundi zaidi ya kuendesha vilivyo vizima,juzi nimemvua mtu tvs 125 used ( nilimshirikisha mtu mzoefu akaniambia niichukue mashine ni nzima ila ina changamoto chache zinazoweza kutatuliwa
Hapana TVS ndio pikipiki bora na ngumu zaidi Tanzania.
Haitakiwi kuibadiri Piston Ring hizo Ring huwa ni stable sana hata miaka 3 bila zigusa zinakaa!..
TVS haiguswiguswi Piston ring, Mkono, Block wala chochote cha kwenye Engine mpaka ipite mwaka 1 au miaka 2.
Cha kufanya aende kwa fundi amsafishie Carbulator yake na acheki Spark Plug kama chafu asafishe au anunue TVS Genuine Plug nyingine!. Akishasafishiwa aanze ikadiria pikipiki ni kwa umbali gani inakunywa mafuta (HLX150 ni 55Kms - 60Kms, HLX125 ni 65Kms - 70Kms per 1ltr).
Kingine aangalie Oil anayotumia anatakiwa tumia 20W50 mafundi wengi wa mtaa wanatumia 20W40 ambayo ni special kwa gari (laini)!.
JMWAKA ukifanya yote hayo na tatizo bado nitafute PM!.
 
Back
Top Bottom