Natarajia kwenda Congo kwa usafiri wa pikipiki na baadae kurudi tena Dar, je ni pikipiki gani ina uwezo wa kutembea spidi na kuhimili changamoto zote za njiani mpaka Congo?
Acheni ujinga wa tz.
Safari ya pikipiki kwa masafa marefu inatakiwa uwe mzoefu na pikipiki si chini ya miaka 5.
Sasa nyinyi mnaigaiga tu.
Ndugu bora ujipange upate usafiri wa basi au pipa.
Hamna Kinacho Shindikana Wala Hamna Cha Uzoef Kama Snlg Inatoka Dar-butiama Kweny Kumbukumbumb Za Nyerere Mbna Kongo Utafika Sema Utatumia Si Chin Ya wiki 2 Kufika Na Kurudi Rut Ako Itakuwa Ya Muundo Huu
dar-dom unapumzk
dom-kahama unapumzika
Kahama-rusumo
hapo unalala siku mbili then unapga rusumo kigar-kigal mpaka kongo Ila Rwanda Spid Itatumika Ndogo Kwahyo Pale N Kufata Maelekez Tu
Ukivaa Nguo Za Kujilinda Na Ukawa Na Spear Utaenjoy Safar
Hapa kuna harufu ya msiba! hawa vijana wa kileo walivyo walaini watawezea wapi! kesho ndugu zako watakuja hapa kulizia ulipo ubalozi wa Tanzania nchini Congo kuna mwili wa kijana wao amedanja unatakiwa kurudishwa Tz! Tafuta usafiri mbadala