Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Racing carkwa nini usichukue BMW au chukua Racinga Car
Tafuta kati ya hizi
1. 2014 BMW R1200 GSA
2. 2015 Indian Roadmaster
3. BMW RI200
4.Yamaha FJR1300 ES
"VESPA"Wakuu,
Natarajia kwenda Congo kwa usafiri wa pikipiki na baadae kurudi tena Dar, je ni pikipiki gani ina uwezo wa kutembea spidi na kuhimili changamoto zote za njiani mpaka Congo?
Wataalam wa pikipiki nijuzeni hapa
Dar singida cku nzima..,hukuwa unaijua DT125.,hii pikpik ni 2T..,huhitaji kupumzika.,cku nyingine funga kimzigo nyuma kama kg 50.,utaipenda na utakuwa kama unateleza barabarani..,Mm Kilombero,Chalinze,Segera,Lushoto nimetumia masaa 4.45Tafuta pikipiki kuanzia cc 500 kwenda juu.Hakikisha unavaa nguo nzito za kukabiliaba na baridi.Jitahidi kutembea mchana tu na ucku upumzike.Unaweza kabisa kwenda na kurudi.Mm nilishawahi kutumia DT 125 Suzuki toka Dar to Singida nilifika saa 6 ucku toka asubuh kwa sababu kuna muda inabidi uipumzishe kwa angalau nusu saa.
Ha ha haTafuta pikipiki-ukipata pikipiki-tafuta pulling machine-ukipata pulling machine-tafuta congo-ukipata congo-tafuta dar
[emoji87]Mkuu, msiba utakuwa wapi????
Hapa kuna harufu ya msiba! hawa vijana wa kileo walivyo walaini watawezea wapi! kesho ndugu zako watakuja hapa kulizia ulipo ubalozi wa Tanzania nchini Congo kuna mwili wa kijana wao amedanja unatakiwa kurudishwa Tz! Tafuta usafiri mbadala