Nina experience ya kusafirii na pikipik kwa masafa marefu,trip ya mwisho nimetoka bukoba mpaka hapa arrusha,pikipiki nayotumia na honda baja 250cc,kwa kawaida safari na pikipiki si ngumu sana kama vile watanzania wengi wajuavyo bali ni experience za kidereva na umahili wa pikipiki uunayotumia,vivyo hivyo ugumu wa safari huja pale unapotumia pikipiki ndogo kwa safari ndefu ndefu,mfano unatumia sanlg toka dar mpaka mwanza,hapo lazima uchoke na uchukue uendako.kiukweli inahitaji experience,mood.na some addittional driving technique.nakushauri kama unataka kusafiri kwenda congo plz use honda 250cc iwe xl hapo utaenjoy kabisa kwakuwa hata ulaji wake wa mafuta ni mzuri,pia ina uwezo wa kutembea km 600 pasipo kuipumzisha,