Pikipiki ya 110cc naweza kusafiri nayo umbali mrefu?

Aisee pole Sana...

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Unatafuta kifo wewe, hiyo si ya safari ndefu na pia huna uzoefu.
 
Nafanya kazi kariakoo naishi chalinze natumia boxer 150 mdomo wa mamba kila siku naenda job na kurudi, so mimi naona ukiipata ya design hii utafika vizuri tu
 
Unatafuta kifo wewe, hiyo si ya safari ndefu na pia huna uzoefu.

mtaalam uzoefu hauji kwa kusema sina uzoefu ata hao wazoefu walianza safari zao wakiwa 0KM leo ni wazoefu so usiogope.. kingine

HAKUNA MZOEFU BARABARANI LAITI WANGEKUWEPO AJARI ZINGEKUWA HISTORIA TU
 
Msisahau kufaa makoti

Na miwani, kuzuia vumbi na wadudu machoni
Bora umewakumbuka! Kuna ndugu m1 pale kimara baruti zamani kidogo alikua na baja kaiva, hamadi, mdudu wa kutoboa mbao akaingia jichoni! Alipona akawa mlemavu sijui kama yupo nao_deiz
 
Wazee inawezekn nlitoka na Houjue express kutoka mwanza to dodoma masaaa ty ila oil uwe unaweka Castrol ni hatari km 2000 so n mwendooo tuuuu
 
Haya mambo yanawezekana sema inataka ujasiri na umakini tu, chuma hiyo (Sanya) nilitembea nayo Kutoka Mwanza-Shinyanga-Nzega(Tabora)-Singida-Dodoma-Iringa-Mbeya, (maskani moja hiyo) na baada ya Siku 4 nikasogea mpaka Tunduma kumpa hi mshkaji wangu pale boarder.
Nilitoka Mwanza saa Tano asbh nikalala Dom saa moja jioni, asubuhi nikaamsha saa moja asbh saa kumi jioni nikatoboa Mby town.
Safari ya kurudi sikulala njiani ila ndo baridi ya usiku iliniishia no matter mavazi ya kujikinga nilivyojiset yaani motor cycle driving gears kama zote.
In short niliienjoy sana Ile tour ingawa Sina mpango wa kuirudia tena ile kitu aisee, so piga moyo konde hata hiyo 110 Yako ni usafiri tosha kabisha muhimu kuzingatia motorcycle safety and road rules.
 
Vp ulishaenda huko tanga ?
Mkuu nilienda na nilifika salama.. kiukweli watu tunatishana sana ila huko barabarani hakuna changamoto kubwa.. changamoto niliyoiona

1. Mashimo ya barabarani
- yana haribu sana pikipiki na kusababisha baadhi ya nati kulegea hivyo inabidi serv ya kukaza

2. speed mwisho cheza 60/70
- kwa sababu break za pikipiki sio rafiki sana ukiwa speed kubwa sababu hapa tunategemea taili moja tena ya nyuma kwa 90% na mbele kwa 10% hivyo ukiwa speed kusimama ni ngumu sana hasa ukiona kitu na kufanya kujiami.

3. zile bumps3
- zile 3 bumps kiukweli zina haribu sana pikipiki yaan unaweza ukaacha nati nyuma so make sure taili zako azijaa sana upepo hasa ya mbele.

4. barabara ndogo
-hapa kiukweli nawapongeza madereva watu wanasema ooh sijui wanakugonga kiukweli ni uongo katika kuendesha kwangu madereva barabara ikiwa ndogo mara nyingi walikuwa wanapunguza mwendo na kunipigia on kuwa nibane.. na kiukweli wanazingatia sana endkat


nitaleta uzi jinsi nilibyoanza safari.. japo nilichoka sana ila nilienjoy.. nilichoka sababu nilifanya makosa ya kubeba beg mgongoni na lilikuwa na laptop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…