baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 254
- 393
Habar wakuu,Nina pikipiki aina ya boxer bm 150 inatatizo moja La kuchelewa hasa ikiwa nimeipaki kwa nusu saa hivi,nimejaribu kwenda kwa mafundi ila wamekuwa wanatoa maoni tofauti tofauti.
Nawasha kwa kutumia kick ila kuna mda nafikiria ninunulie motor starter itakuwa suluhisho LA tatizo au laa!? Wakuu naoni yenu muhimu sana
MARAJESHO;
Asanteni sana kwa ushauri wenu kwani kwa namna Fulani umenisaidia sana
Pikpiki imekutwa na tatizo La kufua umeme ,shida inakuja tena ,nawezaje kumaliza tatizo hili?
Nawasha kwa kutumia kick ila kuna mda nafikiria ninunulie motor starter itakuwa suluhisho LA tatizo au laa!? Wakuu naoni yenu muhimu sana
MARAJESHO;
Asanteni sana kwa ushauri wenu kwani kwa namna Fulani umenisaidia sana
Pikpiki imekutwa na tatizo La kufua umeme ,shida inakuja tena ,nawezaje kumaliza tatizo hili?