Pikipiki za masafa marefu (Cross countries)

The Intelligent

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
2,459
Reaction score
824


Wakuu anayefahamu aina hizo za pikipiki anijuze nahitaji kununua.
Ni pikipiki kubwa kimuundo na ni nene, pembeni nyuma huwa na kitu kama begs ngumu. Mara nyingi nawaona nazo raia wa kigeni hasa wanaotokea South Africa.
Ni pikipiki zenye kasi ya ajabu sana. Naomba kujua hizo pikipiki kama ifuavyo;-
1. Bei yake ya kuinunua
2. Mahali zinapouzwa hapa tz
3. Upatikanaji wa spare parts
4. Mafundi wake
5. Uimara wake/ nchi zinakotoka
Natanguliza shukrani.

MICHANGO ILIYOTOLEWA NA WADAU
---
---
Huo upande BMW ni monsters View attachment 1584184

Jipange kuanzia 25m

Ila mimi huwa nakubali sana off road bike za Yamaha na HondaView attachment 1584185
 
Amewahi kuzituia kama sikosei na alikuwa anaishi dar na kufanya kazi moro na alikuwa anawahi kila siku kwa type hiyo kama kumbu kumbu zipo sawa.

Aisee! ndio nahitaji kitu kama hicho cha masafa ya ukweli.
 
Amewahi kuzituia kama sikosei na alikuwa anaishi dar na kufanya kazi moro na alikuwa anawahi kila siku kwa type hiyo kama kumbu kumbu zipo sawa.

Nadhani tupo sawa kwa kumbukumbu mkuu.
 
BMW K-1600 GTL au Harley Davidson ni nzuri mno. Ila ni mpaka uagize nje,,mpya ni dola 25,000. Used unapata hadi dola 10,000. 1740cc,,na 1600cc ni gari la miguu muwili hilo mkubwa. Unaendesha ukiwa umevaa vifaa maalum.
 
Google ; Harleydavidson na BMW motorbikes kuanzia 750cc utakutana nazo!!!!
 
BMW K-1600 GTL au Harley Davidson ni nzuri mno. Ila ni mpaka uagize nje,,mpya ni dola 25,000. Used unapata hadi dola 10,000. 1740cc,,na 1600cc ni gari la miguu muwili hilo mkubwa. Unaendesha ukiwa umevaa vifaa maalum.

Na spea zake vipi mkuu?
 
Na spea zake vipi mkuu?

Kumanage hiyo pikipiki unahitaji uwe na hela mkubwa. Zambia-Lusaka ndipo niliwahi liona duka kubwa la vifaa vya pikipiki aina hiyo,ila ukiinunua kama ni mpya utaanza gusa injini baada ya miongo/decades kadhaa.

Ni pikipiki haswaa sio. Pia kuna ya kijerumani inaitwa MZ mzee mmoja alikw nayo imekatika piston basi imepaki miaka kibao.
 
Kaka hii speed ya meter 180/h sio ndogo sana au macho yangu?

Km 3 kwa dakika sio spidi ya mchezo Malila. Ukitoka Dar mpaka Durban (4093 km) South Africa utaenda kwa masaa 22 tuu kwa speed hiyo.
 
Km 3 kwa dakika sio spidi ya mchezo Malila. Ukitoka Dar mpaka Durban (4093 km) South Africa utaenda kwa masaa 22 tuu kwa speed hiyo.

Hebu weka speed calculation hapa wengine hesabu zinatupiga chenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…