Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #41
Itapendeza zaidNakuja rafiki chap kwa haraka.
Na unawi mikono unaenda wanusisha wenzako njeepilau yaan pilau la watu sio ubwabwa huyu katuchanganya sana enzi zetu ukiambiwa pilau unatulia kweli kweli nadhani nimeeleweka
Asante mkuuBonge la sotojo!..umetisha mkuu.
Lazima nioe wakuosha vyombo π au kuna mashine ya kuosha vyomboMwanetu hapo kuoa ni basi tena
Mwisho wa mwezi huu namimi napika kama hicho pamoja kwamba mshahara wangu wa ngamaInapendeza
ππ unatenga 15k tu inatosha sana ungekuwa arusha ningekutumia nyama pori kabisaMwisho wa mwezi huu namimi napika kama hicho pamoja kwamba mshahara wangu wa ngama
Umekuja fasta sanaπNikajua ni pilauππ
Ok hoho ungejaza kwenye kachumbari kule, nyama, kuku pika chap kutengeneza ule mchuzi haraka tu badae ukikaranga mchuzi utatumia kwenye wali na nyama itaivia humo.Ndio pilau
Thank youKaribu sana
Acha izo babu kubwa bhna πKauli yangu ni Ile ile Utengwe
Ase akili. Yako wewe ππPilau la wakubwa!
Hufai kwenye chama cha Mabachelor mkuu...Acha izo babu kubwa bhna π
Mwanetu unakitoa namna hiyo kweli mabinti watakubabaisha Nini... Usikate hapo geto umepangilia, vyombo vipo mahala pake geto linanukia. AahLazima nioe wakuosha vyombo π au kuna mashine ya kuosha vyombo