Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
😁😁 kaka ntakuja na kilo ya nyama.. Maelekezo tumeshapewa hapasiku hizi nyama nakula mwanzoni, asije tokea mgeni aka zila😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 kaka ntakuja na kilo ya nyama.. Maelekezo tumeshapewa hapasiku hizi nyama nakula mwanzoni, asije tokea mgeni aka zila😁
Ulikuwa na pesa bossHuo muda Sina mkuu. Nakumbuka miaka hiyo nipo bachela ilikuwa nikinunua kiatu nikavaa wiki kikichafuka natia kwenye tenga nanunua kingine.. na soksi hivyo hvyo, nikaja kustuka ninarundo la maviatu
kaka ngoja apatikane mpishi, iki bidi niulize ka Kelsea ana jua kupika 😂😁😁 kaka ntakuja na kilo ya nyama.. Maelekezo tumeshapewa hapa
Uje ule sasa acha kuifichaNapenda sana pilau
Ngoja nikakamate nikuchinjiePilau 😍 hapo sasa ingekua kuku😋 siondoki hata nikimwagiwa upupu hadi liishe
samahani Eti huyo kwenye avatar ni wa kike au msela!!🤔😆.Napenda sana pilau
Limenukia had huku yummy yummy 😋Lamomy aliniomba nipike pilau ila mambo yakaingilia leo nikapata nafasi kwanza nialianza kuanda viungo pamoja na kitunguu swahumu, hoho,karoti na kitunguu maji
View attachment 3223752
Wakati uho nilikuwa nimekata nyama ndogo ndogo ikiwa inachemka ilikuwa nusu na robo uswahili wanaita robo tatu
View attachment 3223754
Nikawa nasubir nyama iive nakanza kukata kachumbali amboy ili uhusisha Nyanya moja ,karoti, tango moja na kitunguu maji kimoja
View attachment 3223755
Baada ya kumaliza hapo nikaona nyama ipo tayari nikaanza kupika sasa ila kachumbari sikuweka chumvi lwasababu sije vujia maji ikawa na mchunzi sipendi mchuzi wa kachumbari .
Nikaweka sufuria jikoni nikiwa nimeweka mafuta
View attachment 3223757
Baada ya kuona mafuta yamepata moto vizuri nikaweka nyama nilio chemsha kuna wengine wanapika nyama hawachemshi ila nashuri nyama ichemke sana jikoni
View attachment 3223758
Baada ya kuona mafuta yamechemka vizuri nikatia nyama kama unavyoona hapo juu
Baadae nikawa naikaanga ili nyama iwe na rangi ya kahawia uku nikiwa nimetia kitunguu swahumu
View attachment 3223760Nilipoona rangi ya nyama ishakolea kuwa kahawia na kitunguu swahumu kimeiva nikatia kitunguu maji
View attachment 3223762Nikakikaanga na bada ya hapo nikaweka kiungo cha pilau pilau masala
View attachment 3223764
Nikachukua karoti baada ya mchanganyiko wangu kuwa vizuri nikazikaanga
View attachment 3223770
Baada ya hapo nikachukua nyanya nilio saga wakat nasaga nyanya niliweka mafuta kidogo ili iwe ya njano
View attachment 3223780
Nikaisubir iive kidogo nikaweka mchele nilio letewa na shaanganzi tutunfye wa mwakaleli mbeya
View attachment 3223781Baada ya hapo nikakadilia maji nikauacha jikoni niakrudi jf kuchata
View attachment 3223783
Nilifunika nikapunguza moto ukawa mdogo kabisa
View attachment 3223785
Nilipo kuja kuangalia baada ya nusu saa nikaweka hoho sasa
View attachment 3223786
View attachment 3223787
Nilipo kuja kuaangalia baada ya dakika 15 chakula kikawa kimeiva vzr kabisa nikaipua na kuweka kwenye poti
View attachment 3223788
Na nikaanda matunda yangu pia
View attachment 3223790
Na sasa nakula karibuni
View attachment 3223793
Hapana uharibifu tu na kutokuwa na future, unajua ukiwa single bichwa halifanyi kazi saw sawa??Ulikuwa na pesa boss
Ungenipigia picha nione basi 😂😂 at video call ulishindwa pigaLimenukia had huku yummy yummy 😋
Ila kilichotokea kwenye katles ni huzuni 😹🤣
Nimecheka mpk mbavu zimeuma…!!
Asante sasa Dr ile storia yako mbona ujaanda tenaBtw hongera sana, umetisha sana pilau limenyooka
Iliisha kitambo sanaAsante sasa Dr ile storia yako mbona ujaanda tena
Iyo tabia ya kununua soky mpya kila zikichafuka nilikuwa nayo mimi shule ya msingi mama akajua iyo akaanza nipunguzia hela ya kula shule ananipa nauli na jero tu ya kula jumla 700 wakati alikuwa ananipa 3000 ananaimbia mwanangu sina hela akanikuta siku nafua soks akasema kumbe kufua unajua ila basi tu kuchezea hela now nakupa 200 tu 🙄 nilichukia sanaHapana uharibifu tu na kutokuwa na future, unajua ukiwa single bichwa halifanyi kazi saw sawa??
Ndio tunataka ya kwako binafsi jinsi ulivyo anza yaani historia yako kiufupi mpaka kufikia hapo chuo ilikuwaje shule ivyo yaaniIliisha kitambo sana
ItapendezaNa mazungumzo na wizara ya elimu ili kijana uanze kudahili wanafunzi wa hotel management hapa JF