Pilau kachumbari na matunda

Huo muda Sina mkuu. Nakumbuka miaka hiyo nipo bachela ilikuwa nikinunua kiatu nikavaa wiki kikichafuka natia kwenye tenga nanunua kingine.. na soksi hivyo hvyo, nikaja kustuka ninarundo la maviatu
Ulikuwa na pesa boss
 
Limenukia had huku yummy yummy πŸ˜‹

Ila kilichotokea kwenye katles ni huzuni 😹🀣

Nimecheka mpk mbavu zimeuma…!!
 
Hapana uharibifu tu na kutokuwa na future, unajua ukiwa single bichwa halifanyi kazi saw sawa??
Iyo tabia ya kununua soky mpya kila zikichafuka nilikuwa nayo mimi shule ya msingi mama akajua iyo akaanza nipunguzia hela ya kula shule ananipa nauli na jero tu ya kula jumla 700 wakati alikuwa ananipa 3000 ananaimbia mwanangu sina hela akanikuta siku nafua soks akasema kumbe kufua unajua ila basi tu kuchezea hela now nakupa 200 tu πŸ™„ nilichukia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…