Pilau kachumbari na matunda

Kumbe umeona ss ulikuwa na ujinga kama wangu afu kwa hela za kupewa na mama
 
Uzisambaze 😹😹
Nitaleta nikipika tena, yani jana nimecheka sana.!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ najua ziliishia kwenye mafuta zote ukashika kiuona ukasema nini iki mwachi sikuile alifanyaje ukarudi kwenye uzi ukaziangalia zangu ukatamaza zako ukacheka sana ukaachana nazo
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ najua ziliishia kwenye mafuta zote ukashika kiuona ukasema nini iki mwachi sikuile alifanyaje ukarudi kwenye uzi ukaziangalia zangu ukatamaza zako ukacheka sana ukaachana nazo
Kwender 😹😹
Hapo unataka nizitume dada ako niaibike SITAKI 🀣
 
Kwender 😹😹
Hapo unataka nizitume dada ako niaibike SITAKI 🀣
Shida kamdomo kako πŸ˜‚πŸ˜‚ ungeweka hapa bila shida au ndio na wee chapat unapika kama za diva ramazi ya africa
 
Mkuu hongera πŸ‘ kipindi Fulani nilipika aise nilishida chooni siyopow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…