Pilau na biriani zinakosewa heshima sana ukilinganisha kipindi cha zamani

Pilau na biriani zinakosewa heshima sana ukilinganisha kipindi cha zamani

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Miaka 90 kushuka chini swala la pilau na biriani mpaka kuwe na sherehe au sikukuu ndio chakula kinapikwa.
Watu walikuwa wapo tayari kukaa na njaa ili wale sana chakula hiko.

Kwa sasa imekuwa fujo kila ijumaa ni fujo yani ukienda kwenye harusi walaji wa pilau hawapo kabisa na unaweza usipakuliwe.
 
Upo sahihi kaka yake Shetani.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom