Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahah..!Labda ungeweka na wali ila kwa hapo biryani ndo mpango.Tatizo letu mnapika biryani na mchele wa mbeya endeleeni tu mtakuja kuharisha.
Biriani ni ya basmat tu, hizo nyingine ni ubwabwa wenye rangi.Labda ungeweka na wali ila kwa hapo biryani ndo mpango.Tatizo letu mnapika biryani na mchele wa mbeya endeleeni tu mtakuja kuharisha.
😂😂😂😂Waache watakuja kuhara !!Biriani ni ya basmat tu, hizo nyingine ni ubwabwa wenye rangi.
Basmati safi kabisa biryani ni tamu kwa kweli ,pilau labda wapike wadigo lile la kuweka nyanya linakuwa jekundu ila like jingine tunaitwa "wali mchafu" ukila jiandae kuumwa na tumbo.Ahahahah..!
Au mchele kitumbo.
Biryan yake basmatt bana..!!
😂😂😂😂Pilau ndo mpango biriaNi ni chakula cha kina mama
Huo mlenda ni mtamuuuView attachment 2350953kikubwa uhai
Hujawahi kula pilau langu.....Basmati safi kabisa biryani ni tamu kwa kweli ,pilau labda wapike wadigo lile la kuweka nyanya linakuwa jekundu ila like jingine tunaitwa "wali mchafu" ukila jiandae kuumwa na tumbo.
Aisee!!! Biryani ipewe ulinz!!Hujawahi kula pilau langu.....
Acha kabisa.....
Ila mie ni foodie..
Pilau nakula kila wiki mara moja.
Mara nyingi napika home ijumaaa.
Biriani huwa napika home siku za sikukuu.
Au sherehe za watoto.
Biriani inakula muda na gharama sana kupika.
Pia ni chakula cha hamu siwezi kula kila wiki ila pilau nakula kila wiki.
Ikitokea nina hamu ya biriani naenda kununua kwa dada mmoja yupo Sinza.
Nackazima uwe uchi wakati unalipikaAisee!!! Biryani ipewe ulinz!!
Kwa mnaojua kuipika naskia mnaweka mpaka maziwa?!!