Khalu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 523
- 567
Habari za muda huu
Kama kichwa kinavyosema.
Japo tunatofautiana lakini twende mbele turudi hivi pilipili ina raha gani?
Kila nikijaribu ili niione kawaida kama wengine, asee naona hapana huku ni kujitesa, halafu unakuta kuna mtu haoni raha ya chakula bila ya pilipili.
Hivi mnasikia raha gani?
Yaani chakula kizuri, kitamu halafu unaongeza tena na pilipili aloo..........kwangu huko ni kuharibu chakula.
Watu ambao wapo serious wanajua kuwa kula pilipili ni kujiadhibu😂😂😂 njooni taratibu.
Kama kichwa kinavyosema.
Japo tunatofautiana lakini twende mbele turudi hivi pilipili ina raha gani?
Kila nikijaribu ili niione kawaida kama wengine, asee naona hapana huku ni kujitesa, halafu unakuta kuna mtu haoni raha ya chakula bila ya pilipili.
Hivi mnasikia raha gani?
Yaani chakula kizuri, kitamu halafu unaongeza tena na pilipili aloo..........kwangu huko ni kuharibu chakula.
Watu ambao wapo serious wanajua kuwa kula pilipili ni kujiadhibu😂😂😂 njooni taratibu.