Pima uwezo wako wa kufikiria hapa>>>>>>>>>>>

Mi jibu langu kama la my babu Asprin ful stop.
 
Last edited by a moderator:
ilikuwa siku yoyote kati ya Jumanne, Jumatano na Alhamisi
 
Alimaanisha, laiti ingekuwa asubuhi, saa hizi tayari ni jioni!.

Pasco.
 

Lol...majibu mawili:

Jumatano na Jumapili.

Logic:

Laiti kama jana ingekuwa kesho: basi kesho ingekuwa jana pia.

jumatano ingekuwa ijumaa, ijumaa ingekuwa jumatano, na ijumaa ingekuwa jumapili na jumapili ingekuwa ijumaa pia..

kwa hivyo mwalimu aliyasema hayo Jumatano au Jumapili (Provided ni shule ya boarding na walimu wapo jumapili..lol)
 

Huyo mwalimu atakuwa ni gfsonwin u,kama siye basi ni snowhite
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…