Kwani mwalimu akiongea kitu lazima awe shule?
Dadavua kidogo.
Huenda ukanishawishi japo sio kweli.
Alimaanisha, laiti ingekuwa asubuhi, saa hizi tayari ni jioni!.Habari zenu Wana JF, naamini wote ni wazima wa afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye swali langu la leo.
----------------------------------------------------------------
Mwalimu alisema "Laiti Jana ingekuwa Kesho, Leo ingekuwa Ijumaa".
Je Mwalimu aliyasema hayo siku gani?
----------------------------------------------------------------
Nategemea Jibu kutoka kwenu.
Asanteni.
Habari zenu Wana JF, naamini wote ni wazima wa afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye swali langu la leo.
----------------------------------------------------------------
Mwalimu alisema "Laiti Jana ingekuwa Kesho, Leo ingekuwa Ijumaa".
Je Mwalimu aliyasema hayo siku gani?
----------------------------------------------------------------
Nategemea Jibu kutoka kwenu.
Asanteni.
Habari zenu Wana JF, naamini wote ni wazima wa afya.
Bila kupoteza muda twende kwenye swali langu la leo.
----------------------------------------------------------------
Mwalimu alisema "Laiti Jana ingekuwa Kesho, Leo ingekuwa Ijumaa".
Je Mwalimu aliyasema hayo siku gani?
----------------------------------------------------------------
Nategemea Jibu kutoka kwenu.
Asanteni.