kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji116]style Bora kabisa kutekeleza agizo la muumba
Wanaotumia Dildo wanatofauti gani na wanaotumia SabuniMf wanaotumia dildo, na wale mwanamke mmoja anagegedwa na 2 men at once, nk
Citrus fruits, sea foods and some supplements
Wanaotumia Dildo wanatofauti gani na wanaotumia Sabuni
Pigo za Kusaini mikataba ya chief mangungo Nani anataka[emoji3]Halaf kuna mtu anakwambia tusile show hadi ndoa. Mimi huyu niolewe sijui shughuli ya mume siwezi abadani!!!
Ndo nilitaka kumchallenge mtoa mada,Isiwe tu umelenga kuihusisha nyeto kwenye huu uzi Mkuu
Yani hapo kwenye kuonekana hakuna shida ndio huwa chanzo cha yote.Sijui tuganyejeUtakuta mwenzako anajua kabisa, ila hayupo tayari kukuambia ukweli.
Mwanamke anajua kabisa ameshatoa mimba mara kadhaa, tena kwa njia hatarishi lakini anakuficha. Mnaingia kwenye ndoa, utagonga mno. Utasali sana. Utasugua magoti mno.
Utamaliza wachungaji na manabii wote. Hospital zote utaenda kupima hakuna tatizo lolote la Hormones, siyo kwako siyo kwake.
Kumbe mwenzako anajua ukweli.
Ndugu yangu, yaepuke hayo kwa kufanya utafiti kabla ya kuoa.
Aisee!.
shangazi yako hana tofauti na mchawi.Iliniuma sana ,Shangazi angu aliolewa 2016 na jamaa mmoja hivi wa pwani ,nilikuwa najua fika shangazi hana kizazi , nilijaribu kufanya mbinu zote nimsanue jamaa lakini ilishindikana wakafunga ndoa mwezi wa 11 mwaka 2016 ,mpaka Leo hakuna mtoto kabisa maana shangazi alikuwa bingwa sana wa kutoa mimba.
Shangaz alivokuwa anakuja na jamaa kijijini alikuwa hamwachii upepo hata kidogo mtu uongee nae kabisa
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134] shangazi huyo alikua field martial....Iliniuma sana ,Shangazi angu aliolewa 2016 na jamaa mmoja hivi wa pwani ,nilikuwa najua fika shangazi hana kizazi , nilijaribu kufanya mbinu zote nimsanue jamaa lakini ilishindikana wakafunga ndoa mwezi wa 11 mwaka 2016 ,mpaka Leo hakuna mtoto kabisa maana shangazi alikuwa bingwa sana wa kutoa mimba.
Shangaz alivokuwa anakuja na jamaa kijijini alikuwa hamwachii upepo hata kidogo mtu uongee nae kabisa
Iliniuma sana ,Shangazi angu aliolewa 2016 na jamaa mmoja hivi wa pwani ,nilikuwa najua fika shangazi hana kizazi , nilijaribu kufanya mbinu zote nimsanue jamaa lakini ilishindikana wakafunga ndoa mwezi wa 11 mwaka 2016 ,mpaka Leo hakuna mtoto kabisa maana shangazi alikuwa bingwa sana wa kutoa mimba.
Shangaz alivokuwa anakuja na jamaa kijijini alikuwa hamwachii upepo hata kidogo mtu uongee nae kabisa
Utakuta mtu wa pwani nae hana uzazi ndio utashangaashangazi yako hana tofauti na mchawi.
umdhaniaye siye... ndiyeUtakuta mtu wa pwani nae hana uzazi ndio utashangaa