Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pinda ni miongoni mwa watu wachache wanaojua Samia hatogombea 2025 , hapo anapoteza lengo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hakuna namna sasa.
Mtoto wa mkulima aliyesema bora Rais Magufuli atawale milele.
Nchi ngumu sana hii. Jiwe alikuwa anamsifia sana huyu mtoto wa mkulima kwa "kutokuwashwawashwa"Mtoto wa mkulima aliyesema bora Rais Magufuli atawale milele.
Bora angemiliki yote kwani ni mkulima bora kabisa.Lazima aseme hivyo anamiliki nusu ya ardhi Katavi huko ana wasiwasi gani.
Safi sana. Na wewe umechangia.👏👏👏Bora angemiliki yote kwani ni mkulima bora kabisa.
Usiwe na wivu kama Mugabe
Ardhi ya bongo ni pesa yako tu,unaweza ukanunua kiasi chochote,hata ningekuwa Mimi kwa pesa ya uwaziri mkuu,ningenunua ardhi ya kutoshaLazima aseme hivyo anamiliki nusu ya ardhi Katavi huko ana wasiwasi gani.
Kinachowindwa ni kodi yako."Kwa hali hii wacha tu tuendelee kusindikiza wenzetu"
Kumbe huko CCM wanajua wametufelisha kimaendeleo miaka mingi iliyopita, ajabu bado wanapambana waendelee kututawala.
Duh ila itaviacha hapahapa DunianiLazima aseme hivyo anamiliki nusu ya ardhi Katavi huko ana wasiwasi gani.
Afadhali hao akina Membe na Makamba sikuwahi kuwasikia wakisema tubadili katiba Magufuli atawale milele, walistahili kuwa tano bora kuliko hili lizeePinda alifaa kuwa Rais ajabu makamba na membe akaingia tano bora watu wenye uwezo wa uongozi wakaachwa