Pinda: Badala ya kuwaza maendeleo, tunawaza nani atakuwa Rais 2025

Pinda: Badala ya kuwaza maendeleo, tunawaza nani atakuwa Rais 2025

Hii project niliipenda sana sijui nawezaje kupata uzoefu toka kwake

 
Pia Aliwahi kusema "hakuna namna wapigwe tu".

View attachment 2353976
kumjua rais ajaye ni muhimu sana ili kufanya tahmini ya kuwa huyo rais atatosha.kama ni maendeleo chini ya mfumo huu uliopo wa kulindana na kugawana vyeo kwa kujuana hatuwezi fika mbali unless tupate kwanza katiba mpya.
 
sasa sisi tufanyeje Mzee wetu, nyie ndio wazee itaneni mjadili na kutafuta uelekeo ikiwa pamoja na kuhakikisha youth wa nchi hii wanajengwa na kuwa watu kweli.

Moja ya sera ya Ruto Kenya ni kuhakikisha vijana wa kweli wanakuwa vijana kweli wakati Tanzania tunafundisha vijana kuwa wanafiki, wajinga wajinga, kuajiliwa na UVCCM na kuwa wapambe aka machawa kila penye fursa.
 
Ujumbe anaoutuma Pinda ni kwamba rais aliyepo atakuwepo Sana mpaka 2030 kwa hiyo anayewaza urais kwa Sasa anatumia vibaya uhuru na haki yake ya kuwaza na anajicheleweshea maendeleo yake binafsi na nchi kwa upande mwingine.
 
Pinda alifaa kuwa Rais ajabu makamba na membe akaingia tano bora watu wenye uwezo wa uongozi wakaachwa
Labda kwa Taarifa yako wewe na wengine wasiojua ni kwamba Mizengo Pinda ni miongoni mwa watu wa system wanaopanga njama zote za kuminya demokrasia ili kuiokoa ccm , huyu ni miongoni mwa watu wa kitengo wanaoamua mambo ya nchi hata kama si ya haki , hafai kuwa Rais , yote machafu ya Tanzania yumo .

Asikudanganye na mambo ya kilimo
 
Pia Aliwahi kusema "hakuna namna wapigwe tu".

View attachment 2353976
Watanzania hatuna wasiwasi tunajua Rais Samia 2025 hana mpinzani hataakisema agombee 2030 hana mpinzani maana amefanya maendeleo makubwa sana ndani ya mwaka mmoja imagine akikamilisha miaka 10 au zaidi ya 10 Tanzania tunatua juu sana
 
Back
Top Bottom