Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Huyu mzee siyo fisadi isipokuwa anafikiria watu wote wako innocent kama yeye, hawezi ku-grasp kwamba sasa anatumika...yaani akili yake ni nzito kama kondoo inachukua muda mrefu sana kuelewa kinachoendelea...
Pinda dunia uwanja wa fujo bado uko usingizini unasafisha wasiosafishika
Fisadi ni fisadi tu ndugu yangu Tumain ila anajificha kwenye ngozi ya kondoo huwezi kusema wewe si jambazi kwa vile huwa huendi frontier wakati huo huo unakodisha bunduki yako ikatumike