Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 87
- Thread starter
- #21
Sometimes this guy anakuwa anasema ukweli lakini watu wake ndio wanakuwa wagumu sana katika kutekeleza mambo yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bludgeoning buffoonery.
Mhhh! Kichekesho! Mhe Pinda mara ya mwisho aliwaasa watendaji wakuu serikalini kuacha kuagiza magari ya kifahari, hajui kwamba watanzania tumechoka kusikia porojo kila kukicha. If you want to take action you dont have to go to the media and say, chukua hatua tuone mashangingi serikalini yameisha barabarani, hapo hatahitaji hata kusema sie watanzania tutaona tu. Yaani huyo ni Waziri Mkuu eti anahasa, badala ya kuamuru. hivi kweli hapa tuna viongozi kweli, Inasikitisha.
Hebu wakati mwingine tujaribu kuwa realistic. Sidhani kwamba Pinda alitoka ofisini kwake kuwafuata media kuanza kuelezea habari za kuvaa suti! Pinda alitoa comment hiyo wakati akifunga mkutano. Nina uhakika waliokuwa wamehudhuria mkutano huo walikuwa wamevaa suti zao na kujiniga makoo kwa tai. Kwa maana hiyo audiance aliyokuwanayo ilikuwa ndiyo hasa walengwa waliostahili kupewa somo hilo!
Kuendesha Serikali kuna utaratibu wake - eti achukue hatua tuone mashangingi yameisha barabarani. Bila shaka unataka atume traffic police wakae barabarani na kila shangingi linalopita liambiwe likae pembeni au labda yapelekwe kwenye uwanja wa jangwani until further instructions! Kama tunataka utawala bora nchini mwetu basi hautakuja kwa kumtaka Waziri Mkuu afanye au aendeshe nchi kwa amri za kidikteta ama kijeshi.
Mpeni nafasi Pinda muone atakaloweza kufanya na kwa hili la kuvaa suti tumtendee haki kwa kuelewa na kukubali kwamba tumekuwa tegemezi mno na mafundi wa kuiga mambo kiasi kwamba itafika mahali tutaanza (kama hatujafika huko tayari) kutaka Wazungu watuelekeze namna ya kuishi na wake zetu majumbani! Shame on us copy cats!
Tazameni hata nchi ya Indonesia, juzi juzi nilikuwa huko ilinibidi hata mimi na msafara wangu tuache suti zetu na tuvae mashati ya batiki ya yaliyoshonwa kwa kutumia kitambaa cha nchi hiyo, ili tuweze kuonana na rais wao ambaye pia tulimkuta akiwa katika vazi la shati la kawaida kabisa hivi sisi Watanzania kwa nini tunapenda vitu vya kuiga?" aliuliza Pinda.
Kwa mfano, sifahamu kama kweli PM ana madaraka yoyote yenye nguvu ya kikatiba (nje ya Bunge) juu ya Waziri/katibu na maafisa wengine wa wizara husika, kwani wengi ni wateule wa Rais. Sidhani kama PM ana kikao chochote chenye nguvu za kikatiba cha kukaa na mawaziri wa serikali nzima zaidi ya yeye kuwa mjumbe kama mawaziri wengine kwenye kikao cha cabinet. Nadhani ndioyo maana hata J. Ulimwengu kuna kipindi aliongelea katika Rai ya Ulimwengu kwenye gazeti la Raia Mwema juu ya nafasi ya ofisi PM kikatiba. La sivyo, kwa wale wanao jua basi watujuze, vinginevyo tusimlaumi Pinda bali tumhurumie kupewa ofisi isiyo na meno.
Akitoka kwenye nyama atahamia kwenye simu, atamalizia na basic needs za enzi ya mwalimu zibaki zile zile.Huyu ndiye pm wa bongo' hivi tutafika kwa mwendo huu.mwisho atasema tusile nyama ni expensive.
Bludgeoning buffoonery.
I had high regard for you Bluray but I never thought you would stoop so low and be so insulting.
For a man of you intellectual capacity this one is too low!! Leave it to the uninitiated.