mpendwa hata mimi nikihojiwa namna wanavyopeana vyeo nitasema kwa jazba kwanini wawe wao tu miaka yote wakati kuna watu wengi wasomi nchi hii?Mnakomaa ma walewale kwanini?Toka tunasoma shule ya msingi tunasikia familia ya kikwete,kinana,makamba,pindi chana,umi mwalimu,ndalichako,membe why?Mnatuletea chukibhana watalam na wasomi wa kila fani wapo wapeni fursa.Kupeana kindg kunadumaza ufanisi ndiyo mana wizi,ufisadi na kutowajibishana kumekitiri.Mi ctaki mavyeo yenu wapeni hawa wengine nitafurahi.
Jamani, umi si wajuzi tu, kaibuka wakati wa bunge la katiba?.
Pindi chan hana hata miaka 30 serikalini, labda ndalichako kidogo,,, lakini katika uongozi wa nchi huwa hatufanti majaribio,, eti tuweke fresh from school awe waziri,,
Duniani kote, nafasi za uongozi wanapewa watu exprienced,,
Hata hapa US,, mfano mike pimpeo alikua shushushu,, akawa CIA director,,, akaja akawa waziri wa mambo ya nje,, na huenda akaja kuwa Rais wa marekani,,
Huwezi kumaliza UDOM,, halafu ukae miaka 5 una bet,, halafu direct uende kuwa RC, DC, mkuu wa ATCL au hata waziri,,
Lazima upande taratibu ngazi kwa ngazi, upate exprience na uwe na connection pia,,
Sasa uko huko uswekeni,, mlele, songwe,, unataka uwaziri😁,
Nani anakujua?, Huna exprience wala connection,,, hujawahi kuwa hata Afisa tarafa,, 🙆♀️, impossible