Pindi Chana hafai kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

Pindi Chana hafai kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.

View attachment 2518743

Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo.

Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi?

View attachment 2518739
Acha WIVU wako utakufa
 
Hili jambo huwa linashangaza sana.

Wenye mamlaka kila wakitaka mtu ni kama kuna ka data base kao huwa wanachomoa jina moja maisha yanaendelea.

Sasa kama hoja hapa ni kulimit idadi ya watu wenye ufahamu na namna serikali inavyofanya sioni kama ni sawa maana hii nchi ni ya watanzania na mtanzania kushika nafasi flani pia ni haki yake ya kuzaliwa.

Kwakweli napinga kwa nguvu zote tabia hii mbaya ya kufanya recycling.
Safi, tupambane sasa ipatikane KATIBA MPYA ili maamuzi ya kipuuzi ya Rais tuweze kuyakataa na kuyapinga kupitia Mahakama
 
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.

View attachment 2518743

Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo.

Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi?

View attachment 2518739
Makamba, Aweso, Bashe, Masauni, Jafo, Ummy, Mwigulu, Nape, Pindi, Gwajima, Kairuki, Makame, Ridhiwani wote hawa hawafai kuwa mawaziri
 
Mleta Uzi,nenda kajipange tena!!
Umesema mtu hafai lakini fact hujatoa how?? Anavyoonekana tttu na unavyomuona unahic hafai?? Elimu yake labda!! Kwa kuwa ni mwanamke? Vitu ambavyo ungetamani avifanye km waziri bado hajavifanya ?? Labda hafai kwa kuwa Uliwahi kuishi nae tabia zake unazijuwa Toka mko shule ya vidudu?? Labda kuna mtu anafaa zaidi wewe umemuona unatamani apewe nafasi.......

Sie walalahoi tusio na chama,tu-convice kwa fact lasivyo tutajua tttu ni labda ni chuki binafsi otherwise mliwahi labda kuibiana penseli huko nyuma! Umekuja kulipa kisasi
 
Unalalamika tuuu ila huelezi tatizo lake ni nini? Vinginevyo haya ndo yalee majungu ya kitaifa.
 
Mleta Uzi,nenda kajipange tena!!
Umesema mtu hafai lakini fact hujatoa how?? Anavyoonekana tttu na unavyomuona unahic hafai?? Elimu yake labda!! Kwa kuwa ni mwanamke? Vitu ambavyo ungetamani avifanye km waziri bado hajavifanya ?? Labda hafai kwa kuwa Uliwahi kuishi nae tabia zake unazijuwa Toka mko shule ya vidudu?? Labda kuna mtu anafaa zaidi wewe umemuona unatamani apewe nafasi.......

Sie walalahoi tusio na chama,tu-convice kwa fact lasivyo tutajua tttu ni labda ni chuki binafsi otherwise mliwahi labda kuibiana penseli huko nyuma! Umekuja kulipa kisasi
Uko uzi mpya humu kumhusu huyo mama kutoka huko South Afrca ambako Hangaya yuko ziarani , majibu utapata humo
 
Uko uzi mpya humu kumhusu huyo mama kutoka huko South Afrca ambako Hangaya yuko ziarani , majibu utapata humo
Yale yale.....Mtu Fulani hafai,
Kwanini hafai...
Kuna ck kuna mtu aliwahi kuandika kuwa hafai,

Ck nyingine mkisema Fulani hafai,toa fact
Taja na watu wako unaohic wanafaa,
Ili wapewe nafasi (kwa fact)
 
Yale yale.....Mtu Fulani hafai,
Kwanini hafai...
Kuna ck kuna mtu aliwahi kuandika kuwa hafai,

Ck nyingine mkisema Fulani hafai,toa fact
Taja na watu wako unaohic wanafaa,
Ili wapewe nafasi (kwa fact)
hayo niliokutaka usome ni ya leo leo wala si ya mwaka juzi
 
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.

View attachment 2518743

Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo.

Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi?

View attachment 2518739
Huyu Dkt. Waziri wa michezo nasikia pia anapenda michezo
 
Mwl Nyerere aliwahi kuwaambia Wanaccm wenzake kwamba, Nanukuu , "KAMA UNAMPENDA MTU KWA SABABU YA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI” Mwisho wa kunukuu.

View attachment 2518743

Ni lazima Mamlaka ya Uteuzi ijifunze kutafuta watu wengine nje ya hawa watu wa TISS au watoto wa viongozi. Watanzania ni zaidi ya 60 milioni, haiwezekani wote hawa wasiwe na akili ila akili iwe kwa watoto wa viongozi, au hawa TISS wa kupachikwa ama na wale mamluki wenye Koneksheni tu , Hii si sawa hata kidogo.

Pindi Chana hana uwezo wa kuwa Waziri popote pale , kumpachika Wizarani kwa kulazimisha ni kudumaza maendeleo , kuna ulazima gani wa yeye kuwa Waziri wakati hana Uwezo , mbona Makada wa ccm huko Tiss na Kwingineko wako wengi tu , si wapachikeni wenye uwezo basi?

View attachment 2518739
Unaweza kuta kweli hana uwezo ila nidhamu na utii ndio vinambeba kupata teuzi.
 
Back
Top Bottom