Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Tushaamka kaka lazima tudeal naoNchi inauma sana hii basi tu,lkn ipo siku,huko nyuma tuliambiwa wapo madikteta uchwara,kumbe nimegundua kuwa ni vema kuwa na akiba ya maneno,kinachoendelea huwezi amini kama hawa akina Mbowe na lisu ndio wamegeuka walamba asali sasa sijui tuwaite wapinzani UCHWARA.Watanzania tuamke.
Waziri wa Maliasili na utalii Mh Pindi Chana amesema kuna tangazo limekuwa likizunguka kwenye mitandao kuhusu usafirishaji wa wanyamapori ambalo lilizua taharuki toka jana !
Hivyo kwakuwa yeye ni Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii ametangaza kusitisha mara moja usafirishaji wa wanyamapori na Maliasili mpaka hapo atakapopata taarifa kamili na kutoa maamuzi!
Kwa maelezo yangu haya hakuna tena usafirishaji wa wanyama pori hao kama jinsi ambavyo tangazo hilo la jana limetolewa na hiyo taasisi" amesisitiza Balozi Pindi Chana
View attachment 2251487
Chanzo: EATV
N:B Ni wazi ndani ya serikali hakuna mawasiliano kabisa hivi inawezekanaje waziri wa maliasili na utalii asiwe na taarifa na tangazo kubwa na nyeti kama lile?
Ni kweli waziri hakuwa na taarifa la na tangazo lile? Ni kweli waziri hakuambiwa kuhusu tangazo?
Ban iliwekwa na Rais hakuna mwenye mamlaka ya kutengua bila taarifa yoyoteSitaki kuamini kwamba Tangazo lilitoka bila Mamlaka kuridhia. Tusifanywe watanzania ni Mazwazwa hapa ni ile anzisha tatizp then litafutie solution kwa lengo la kutengeneza umaarufu!
Shida ya watendaji wetu ni kule kuwategemea wasaidizi wao wafanye kila kitu halafu wao kazi yao ni kusaini tuu hawana muda wa kufanya mapitioIna maana waziri alikuwa hajapata taarifa kamili kuhusu usafirishaji wa wanyama pori....
Anyway kelele zimesaidia
Ova
Dogo tuendako hali itakuwa mbaya sana kwa Samia.Kachukua watu waliokataliwa ndio amewapa vyeo na ushauri.Tutarudi mwaka 2015 ambapo yeyote aliyevaa nguo za kijani alikuwa adui wa wananchi,alichapwa.Kwamba walikuwa hawajui? Huku ni kutojiamini sasa
Dogo uamuzi kama huu hufanywa na vikao vizito kuanzia Ikulu hadi wizarani.Shida ya watendaji wetu ni kule kuwategemea wasaidizi wao wafanye kila kitu halafu wao kazi yao ni kusaini tuu hawana muda wa kufanya mapitio
Baada ya ccm kumpata Makamu Mwenyekiti mpya,Pindi Chana: heshimu Jf sana. Unataka kuendesha biashara haramu unasema hujui?
Baada ya kelele wameibuka tenaWaziri wa Maliasili na utalii Mh Pindi Chana amesema kuna tangazo limekuwa likizunguka kwenye mitandao kuhusu usafirishaji wa wanyamapori ambalo lilizua taharuki toka jana !
Hivyo kwakuwa yeye ni Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii ametangaza kusitisha mara moja usafirishaji wa wanyamapori na Maliasili mpaka hapo atakapopata taarifa kamili na kutoa maamuzi!
Kwa maelezo yangu haya hakuna tena usafirishaji wa wanyama pori hao kama jinsi ambavyo tangazo hilo la jana limetolewa na hiyo taasisi" amesisitiza Balozi Pindi Chana
View attachment 2251487
Chanzo: EATV
N:B Ni wazi ndani ya serikali hakuna mawasiliano kabisa hivi inawezekanaje waziri wa maliasili na utalii asiwe na taarifa na tangazo kubwa na nyeti kama lile?
Ni kweli waziri hakuwa na taarifa la na tangazo lile? Ni kweli waziri hakuambiwa kuhusu tangazo?
Kelele ndiyo zimesaidia kdgDogo uamuzi kama huu hufanywa na vikao vizito kuanzia Ikulu hadi wizarani.
Sio wote waliotumbuliwa walikuwa wabaya bali wengi wao ni hawakuwa upande wa Jiwe..Dogo tuendako hali itakuwa mbaya sana kwa Samia.Kachukua watu waliokataliwa ndio amewapa vyeo na ushauri.Tutarudi mwaka 2015 ambapo yeyote aliyevaa nguo za kijani alikuwa adui wa wananchi,alichapwa.
Mbowe na lissu wanahusikaje kwenye huo ujinga.jambo lifanywe na watu wengine lawama upeleke kwingine.maccm ndio wanaofuja mali za umma wao ndio wanaopaswa kuambiwa.Ata hivyo ni jukumu la kila mwananchi kupiga kelele pale anapoona rasiliamali za nchi zinatumika isivyopasa.Sasa wewe umefanya wajibu wako kiasi gani au unasubiri mbowe na lissu waseme kila kitu.Wewe ndio uanze kuamka.Nchi inauma sana hii basi tu,lkn ipo siku,huko nyuma tuliambiwa wapo madikteta uchwara,kumbe nimegundua kuwa ni vema kuwa na akiba ya maneno,kinachoendelea huwezi amini kama hawa akina Mbowe na lisu ndio wamegeuka walamba asali sasa sijui tuwaite wapinzani UCHWARA.Watanzania tuamke.
nguvu ya mitandao inafanya kazi.nimeamini sasa hivi mitandao ni nguzo kuu kuliko vyombo vingine vya habari.Viva Maxenze.Dah!..kelele za mitandaoni zimesikika ?
Nani kakudnganya ni hapa? au kwa sababu unafuatilia hapa unadhani hizi mada zipo hapa pekee? Kelele za kisomi zimepigwa CLUB HOUSE hukoTunakoelekea Jf ina uwezo ya kumchagua Rais wa nchi
Wewe unyang'anywe tu vyeti na chuo chako. Sasa uraia pacha na rasilimali vinaingilianaje.Sasa kipi kinakuumiza mkuu?
Kama raia tu mnataka kuwa na uraia pacha, iweje kwa wanyama kupelekwa huko iwe nongwa?
Huku kuna watu pia,kama tunakubali kuletewa teknolojia ambayo hatunayo sio nongwa pia kupeleka wanyama. Hawaendi bure kule.