Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wajinga Sana,kama kuna haja ya kuwauza si wanatoka tuu hadharani na kujenga hoja badala ya kuviziana kisenge?
Si kweli kama hawajui bali wanafanya usanii, vinginevyo mimi ningekuwa Rais ningemfuta Kazi Kamishna wa Uhifadhi mara moja kwa ujinga huu.
Weeee 20220604 au nimeona tofauti hizo tarehe hapo.[emoji41]
Subiri kupakwa Ky na tanapa hii michongo ya ma big boyWatasafirishwa kimya kimya
Hata mimi nna mpango wa kusafirisha ngedere kwenda Kongo kwa kutumia baiskeli
Uamuzi sahihiWaziri wa Maliasili na utalii Mh Pindi Chana amesema kuna tangazo limekuwa likizunguka kwenye mitandao kuhusu usafirishaji wa wanyamapori ambalo lilizua taharuki toka jana !
Hivyo kwakuwa yeye ni Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii ametangaza kusitisha mara moja usafirishaji wa wanyamapori na Maliasili mpaka hapo atakapopata taarifa kamili na kutoa maamuzi!
Kwa maelezo yangu haya hakuna tena usafirishaji wa wanyama pori hao kama jinsi ambavyo tangazo hilo la jana limetolewa na hiyo taasisi" amesisitiza Balozi Pindi Chana
View attachment 2251487
Chanzo: EATV
N:B Ni wazi ndani ya serikali hakuna mawasiliano kabisa hivi inawezekanaje waziri wa maliasili na utalii asiwe na taarifa na tangazo kubwa na nyeti kama lile?
Ni kweli waziri hakuwa na taarifa la na tangazo lile? Ni kweli waziri hakuambiwa kuhusu tangazo?
Wanamharibia. Wanafanya maamuzi ya kijinga ambayo asipowachukulia hatua itaonekana na yeye anahusika!Tatizo amezungukwa na walamba asali.
Uwe unafuatilia mambo upate akili, Uliambiwa wanyama wanaouzwa ni Tembo? Umekaririshwa katiba mpya mpaka unadhani itaandika kuhusu kukuNdio maana tunataka katiba mpya haiwezekani mtu mmoja amekaa anasema wanyama wauzwe!hivi zile bilioni 7 za royaltour zilikuwa na malengo gani?Hao wazungu watakuja kufanya nini wakati hao wanyama mnauza kama chupi #kinana
Tuliambiwa watendaji Wana nidhamu ya woga-Ni insorbonation kama kweli Waziri hakuwa na taarifa ya kuanza kusafitisha viumbe hai nje ya nchi.
-Mhusika wa tukio hili ambalo limeleta taharuki na chuki kwa Serikali ya awamu ya sita, inabidi ajipime na ajitafakari, -Mamlaka ya uteuzi ichukue hatua stahiki,ili kuleta nidhamu kazini.
-Kutochukua hatua zozote,itakuwa Ni ushahidi tosha kuwa Waziri aliarifiwa, lakini amesimamisha utekelezaji kisiasa tu.
Tuliambiwa watendaji Wana nidhamu ya woga-Ni insorbonation kama kweli Waziri hakuwa na taarifa ya kuanza kusafitisha viumbe hai nje ya nchi.
-Mhusika wa tukio hili ambalo limeleta taharuki na chuki kwa Serikali ya awamu ya sita, inabidi ajipime na ajitafakari, -Mamlaka ya uteuzi ichukue hatua stahiki,ili kuleta nidhamu kazini.
-Kutochukua hatua zozote,itakuwa Ni ushahidi tosha kuwa Waziri aliarifiwa, lakini amesimamisha utekelezaji kisiasa tu.
Weka fact hapa sio mambo ya hisia eti kwa vile umemuona Mbowe ikuluNchi inauma sana hii basi tu,lkn ipo siku,huko nyuma tuliambiwa wapo madikteta uchwara,kumbe nimegundua kuwa ni vema kuwa na akiba ya maneno,kinachoendelea huwezi amini kama hawa akina Mbowe na lisu ndio wamegeuka walamba asali sasa sijui tuwaite wapinzani UCHWARA.Watanzania tuamke.
Ukiona hivyo kuna maelekezo tofauti, huyu anasema yake na yule aliyeko chini ana maelekezo mengine .Angewapigia tuu simu au hana namba zao?
Kama vile nlisoma pia kuwa kna kiongozi flani wa chama akimtaka huyu mama aachie ngzi, au ni macho yangu?Ni vigumu tangazo kama like kusambaa na waziri akose taarifa kamili, wanatuzuga tu hao vigogo.
Naona kelele za mitandaoni zimesikika, japo kuna wakati husema hawafanyii kazi mambo ya mitandaoni.