Pindi Chana: Nimesitisha usafirishaji wa wanyamapori mpaka nitakapopata taarifa kamili

Pindi Chana: Nimesitisha usafirishaji wa wanyamapori mpaka nitakapopata taarifa kamili

Ndio maana tunataka katiba mpya haiwezekani mtu mmoja amekaa anasema wanyama wauzwe!hivi zile bilioni 7 za royaltour zilikuwa na malengo gani?Hao wazungu watakuja kufanya nini wakati hao wanyama mnauza kama chupi #kinana
Katiba inahusikaje kwenye suala la utendaji. Katiba ni constitution na sio work system au ethics.
 
Yaani Serikali ilikuwa haina taarifa!!? Basi kuna tatizo kubwa sana!! Wakati Serikali ndio iliyositisha usafirishaji huo mwaka 2016.
Ni wajinga Sana,kama kuna haja ya kuwauza si wanatoka tuu hadharani na kujenga hoja badala ya kuviziana kisenge?

Si kweli kama hawajui bali wanafanya usanii, vinginevyo mimi ningekuwa Rais ningemfuta Kazi Kamishna wa Uhifadhi mara moja kwa ujinga huu.
 
Jamani mlio karibu na mheshimiwa Rais, please mwambieni awe mkali kidogo. Ile policy ya nidhamu ya moyoni haifanyi kazi, hawa watumishi wa chini yake wanamharibia.
Kama jambo hili halina baraka ya Ikulu Basi Rais amfukuze Kazi Kamishna wa Uhifadhi na pia amtake Katiba mkuu wa Maliasili atoe maelezo kwa nini asichukuliwe hatua..
 
Ni wajinga Sana,kama kuna haja ya kuwauza si wanatoka tuu hadharani na kujenga hoja badala ya kuviziana kisenge?

Si kweli kama hawajui bali wanafanya usanii, vinginevyo mimi ningekuwa Rais ningemfuta Kazi Kamishna wa Uhifadhi mara moja kwa ujinga huu.
Kamishna wa Uhifadhi kawekwa na JK , Maza afanyeje? Serikali ina JK ndani yake
 
Wamekosa vya kupelekea wazungu, sasa wameamua wapeleke wanyama,
Wazanzibar hawana uchungu na mali asili zilizo bara
 

Pindi Chana: heshimu Jf sana. Unataka kuendesha biashara haramu unasema hujui?​

Hawa wazanzibar mpaka watoke madarakani, tanganyika itakuwa kama matundu ya neti. Kwa huu upuuzi unaoendelea, tumekuwa zaidi ya shamba la Bibi.
 
Ina maana waziri alikuwa hajapata taarifa kamili kuhusu usafirishaji wa wanyama pori....

Anyway kelele zimesaidia.
Wanaunda gari na kukuoa bure, alafu wanakuja kukuuzia spea.
 
Kama wamezidi si wawachinje watuuzie hizo nyama mbona tutanunua

Swala wetu wenyewe lakini haturuhusiwi kula nyama zake ila watu arabuni wanakula kama kawa nchi ya kisengerema sana hiii.

Wakizidi chinjeni mtuuzie hata buku 20 kwa kilo tutanunua hata mara moja moja sio mbaya.

Acheni mambo ya kijinga kusafirisha wanyama hai.au kuuza nyama nje wakati wazawa hawajawahi kula hata hizo nyama.
 
Haya mambo ya kuendekeza maslahi binafsi ndo yalipelekea nyumba za serikali zikauzwa kama njugu........na hilo dirisha la miezi sita hatujui lingeondoka na wanyama pori wangapi.
 
Nchi inauma sana hii basi tu,lkn ipo siku,huko nyuma tuliambiwa wapo madikteta uchwara,kumbe nimegundua kuwa ni vema kuwa na akiba ya maneno,kinachoendelea huwezi amini kama hawa akina Mbowe na lisu ndio wamegeuka walamba asali sasa sijui tuwaite wapinzani UCHWARA.Watanzania tuamke.
Kila siku tuamke, nawaambia hivi milele na milele hamtaamka.
 
Ni aibu juu ya aibu. Sio kila asali ni ya kulamba.
View attachment 2251543
Ni kosa kubwa kuwa na Serikali ya kusikilizia watu wanasemaje mitandaoni..

Sababu za kuzuia kuuza wanyama nje zilikuwepo na pia kama kuna sababu za kuuza lazima watu wa serikali watoke kuja kueleza kwa nini wanaruhusu sio kufanya ujinga huu wanaofanya..

Ndio maana wanaonekana watu wahuni na wenye Nia mbaya na kumpa credit yule Dhalimu..

Haki ya nani ningekuwa Rais,ningemfuta Kazi Kamishna wa Uhifadhi na Katibu Mkuu wa Maliasili unless yalikuwa maelekezo kutoka juu na huko juu ndio wamebuma.
 
Back
Top Bottom