Pindi Chana: Nimesitisha usafirishaji wa wanyamapori mpaka nitakapopata taarifa kamili

Pindi Chana: Nimesitisha usafirishaji wa wanyamapori mpaka nitakapopata taarifa kamili

Mambo kama haya ndiyo Maza alikuwa akiyasema juzi.
Hizi ni siri za serikali ambazo hazikutakiwa zitoke nje. Huyo Mkurugenzi aliyetoa tangazo alikuwa hajajua utaratibu mpya unaohimizwa na mkubwa wao?

Sasa mengi yatakuwa yakifanyika gizani.
 
😎
 

Attachments

  • IMG-20220604-WA0000.jpg
    IMG-20220604-WA0000.jpg
    24.2 KB · Views: 14
  • IMG-20220604-WA0001.jpg
    IMG-20220604-WA0001.jpg
    10.5 KB · Views: 16
Waziri anapima nguvu ya makamu mwenyekiti?
 
Yaani aruhusu yeye na kuzuia yeye afu minyumbu inasifu...teh teh
Wamchukulie hatua alie toalile tangazo.
Upepo ulikuwa unapimwa mkuu, watu wanauchu na rasilimalizetu sana.
 
Mimi kwa kweli hakuna mnyama ananiumiza moyo wangu kama Twiga nikimuona anasafirishwa kwenda nje ya nchi yangu TZ. Huwa machozi yananitoka kabisa.
 

Attachments

  • IMG-20220605-WA0066.jpg
    IMG-20220605-WA0066.jpg
    34 KB · Views: 23
  • VID-20220605-WA0055.mp4
    16.8 MB
  • VID-20220605-WA0067.mp4
    2.3 MB
Waziri wa Maliasili na utalii Mh Pindi Chana amesema kuna tangazo limekuwa likizunguka kwenye mitandao kuhusu usafirishaji wa wanyamapori ambalo lilizua taharuki toka jana !

Hivyo kwakuwa yeye ni Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii ametangaza kusitisha mara moja usafirishaji wa wanyamapori na Maliasili mpaka hapo atakapopata taarifa kamili na kutoa maamuzi!

Kwa maelezo yangu haya hakuna tena usafirishaji wa wanyama pori hao kama jinsi ambavyo tangazo hilo la jana limetolewa na hiyo taasisi" amesisitiza Balozi Pindi Chana

View attachment 2251487

Chanzo: EATV


N:B Ni wazi ndani ya serikali hakuna mawasiliano kabisa hivi inawezekanaje waziri wa maliasili na utalii asiwe na taarifa na tangazo kubwa na nyeti kama lile?

Ni kweli waziri hakuwa na taarifa la na tangazo lile? Ni kweli waziri hakuambiwa kuhusu tangazo?
HUYU WAZIRI ALIAMBIWA AJIUZULU NA CHONGOLO JUZI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Amesitisha kuanzia leo lakini siku ya jana pengine wapo wanyama wamesafirishwa. Si kweli kwamba waziri alikuwa hajui huu mpango unajulikana na wengi mpaka ccm na huko juu
 
Back
Top Bottom