Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Especisally , Kinana, JK, maza , Riziwani, Nchemba, January na NapeYaani hii nchi haiaminiki hata kidogo…
Hasa KinanaBaadhi ya viongozi wetu wa juu wana vinasaba vya ujangili
Ili tujue kwamba hatuzugi basi na yeye atoe maandiko siyo mdomo mtupu. haiwezekani bandiko ni la Wizara halafu yeye asijue!Waziri wa Maliasili na utalii Mh Pindi Chana amesema kuna tangazo limekuwa likizunguka kwenye mitandao kuhusu usafirishaji wa wanyamapori ambalo lilizua taharuki toka jana !
Hivyo kwakuwa yeye ni Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii ametangaza kusitisha mara moja usafirishaji wa wanyamapori na Maliasili mpaka hapo atakapopata taarifa kamili na kutoa maamuzi!
Kwa maelezo yangu haya hakuna tena usafirishaji wa wanyama pori hao kama jinsi ambavyo tangazo hilo la jana limetolewa na hiyo taasisi" amesisitiza Balozi Pindi Chana
Chanzo: EATV
N:B Ni wazi ndani ya serikali hakuna mawasiliano kabisa hivi inawezekanaje waziri wa maliasili na utalii asiwe na taarifa na tangazo kubwa na nyeti kama lile?
Ni kweli waziri hakuwa na taarifa la na tangazo lile? Ni kweli waziri hakuambiwa kuhusu tangazo?
Waziri hajui chochote, walitest upepo umekuwa mkali mtandaoni, foolish kabisaCCM walisema mitandao haina umuhimu Leo wanakubali foolish
Halafu huyu dingi baada tu ya kula kiapo akaelekea huko kuona kama wapo wapoK
Kinana amemsikia huyu waziri?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Waziri hajui chochote, walitest upepo umekuwa mkali mtandaoni, foolish kabisa
Tunakoelekea Jf ina uwezo ya kumchagua Rais wa nchiWaziri hajui chochote, walitest upepo umekuwa mkali mtandaoni, foolish kabisa
Yaani Serikali ilikuwa haina taarifa!!? Basi kuna tatizo kubwa sana!! Wakati Serikali ndio iliyositisha usafirishaji huo mwaka 2016.View attachment 2251418Waziri Chana ametoa kauli hiyo kufuatia taarifa zilizokuwa zinasambaa mitandaoni kuwa baadhi ya taasisi zimeanza kusafirisha wanyama hao kwenda nje ya nchi
Akizungumza na wanahabari Jijini Arusha Waziri Chana amesema zoezi la usafirishaji wa wanyama pori nchini limesitishwa mara moja hadi hapo serikali itakapopata taarifa rasmi na serikali kuamua vinginevyo
"Kwa maelezo yangu haya hakuna tena usafirishaji wa wanyama pori hao kama jinsi ambavyo tangazo hilo la jana limetolewa na hiyo taasisi" amesisitiza Balozi Pindi Chana
Bwashee kwako kila jambo ni jema!Ni jambo jema
Chawa wakija tena watapongeza wenyewe hawana akili zaidi ya kushangiliaKuna wajinga walitetea uuzwaji wanyama pori nje ya nchi,sijui sasa wanajisikiaje?
Tuko autopilot, ukoo wa kambale, kila mtu ana ndevu!Ni kweli waziri hakuwa na taarifa la na tangazo lile? Ni kweli waziri hakuambiwa kuhusu tangazo?
Yaani Waziri alikuwa hana habari na mambo yanayofanyika wizarani kwake hadi yanafika mitandaoni?Hivyo kwakuwa yeye ni Waziri mwenye dhamana ya Maliasili na Utalii ametangaza kusitisha mara moja usafirishaji wa wanyamapori na Maliasili mpaka hapo atakapopata taarifa kamili na kutoa maamuzi!