johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hukumu inasomwa mubashara
Tazama Citizen TV
Update;
Tazama Citizen TV
Update;
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya waako hatua ya mbali sana kuanzia kuheshimu katiba na mgawanyo wa majukumu kwenye mihimili ya dola. Hapa kwetu ccm ni kama chatu, kameza si tu akili za wafuasi wake, bali mihimili mikuu ya dola ameigeuza mayai yake.Huko ndiko kuna mahakama siyo huku makada wa CCM wamepewa mahakama
Ngoja tuone 😂Huko ndiko kuna mahakama siyo huku makada wa CCM wamepewa mahakama
Chacha Mwita Waitara 😂😂😂Chacha Mwita wa Kenya ana akili kuliko chacha Mwita wa taifa hili la wajinga na washenzi
Ushindwe na ulegee!!!Chacha Mwita wa Kenya ana akili kuliko chacha Mwita wa taifa hili la wajinga na washenzi
Acha dharauChacha Mwita wa Kenya ana akili kuliko chacha Mwita wa taifa hili la wajinga na washenzi
Ila we jamaaa una upuuzi mwingi sanaChacha Mwita Waitara 😂😂😂
Huku tunaongozwa kwa ndoto za RaisKenya waako hatua ya mbali sana kuanzia kuheshimu katiba na mgawanyo wa majukumu kwenye mihimili ya dola. Hapa kwetu ccm ni kama chatu, kameza si tu akili za wafuasi wake, bali mihimili mikuu ya dola ameigeuza mayai yake.
Mahakama itatenda haki iliwahi kutengua ushindi wa UhuruNgoja tuone 😂
Haya 😀Mahakama itatenda haki iliwahi kutengua ushindi wa Uhuru
Tanzania haki ni hisani ya Rais na siyo takwa la kisheriaHaya 😀
Ijumaa dada chura aliweka watu pembezoni mwa barabara kupisha msafara ili akajiandikishe, kufika kituoni kakaa kwenye msafara kusubiri aandikwe....na mazuzu wakamfurahia sana kwamba haovateki watu wanyonge.Huku tunaongozwa kwa ndoto za Rais
Ni sanaa tupu, hao watu waliandaliwa kutoka IkuluIjumaa dada chura aliweka watu pembezoni mwa barabara kupisha msafara ili akajiandikishe, kufika kituoni kakaa kwenye msafara kusubiri aandikwe....na mazuzu wakamfurahia sana kwamba haovateki watu wanyonge.
Kwa namna waliokua mbele yake wamechoka, basi aliyeandaa wahusika na location angetakiwa apewe unaibu director kwenye royo tour part Two, Peater abaki co staringNi sanaa tupu, hao watu waliandaliwa kutoka Ikulu
Mahakama imebwaga manyanga Kesho Seneti kumshughulikia Gachagua 😂kwa taarifa zakweli nilizonazo imebuma riggy j haendi mtaani i
Ukiamka bila kuoga halafu ukavaa vibaya lazima iwe hivyo, maigizo kama hayo yapo sanaKwa namna waliokua mbele yake wamechoka, basi aliyeandaa wahusika na location angetakiwa apewe unaibu director kwenye royo tour part Two, Peater abaki co staring