Pingamizi la Impeachment ya Naibu Rais Gachagua, Jaji Chacha Mwita anasoma hukumu sasa

Pingamizi la Impeachment ya Naibu Rais Gachagua, Jaji Chacha Mwita anasoma hukumu sasa

Ngoja tuone

Mlimani kuna watu million 8 😄😄
Ruto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokea
 
Ruto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokea
Ngoja tuone sababu Raila ni baba la Fitna 😂
 
Ruto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokea
Mkuu umeona mbali..[emoji23] ndivyo manguli wa siasa ya kenya wanasema hivi hivi
 
Mkuu umeona mbali..[emoji23] ndivyo manguli wa siasa ya kenya wanasema hivi hivi
Huo ndio ukweli hapo haujaweka Kura za wakalenjin wenzake Ruto, wamasai, kwa wakamba pale kalonzo alishajiishia Hana ushawishi ndio maana akina Alfred mutua walisogezwa karibu, hesabu ya kuvunja domination ya wakikuyu ilipigwa vyema na Ruto na hiyo yote ni kumaliza mizizi ya familia ya kenyatta Kenya , kumbuka Raila atakua zake AU anajilia posho kibao , vijana wake akina joho wako barazani nao wanakula maisha , akina Aisha jumwa hawatoachwa wanapigwa ubalozi wakale maisha mbele ya safari ndio maisha yalivo , Gen Z ya Uhuru , gachagua na Jimmy wanjigi imekufa kibudu na haitokuja na amshaamsha tena zaidi wataandamana mlima Kenya kidogo halafu watakosa backup ya nchi nzima bado wataonekana wakabila maana wanatuhumiwa kwa ukabila, kwahiyo wachague kusuka ama kunyoa japo wao mlima ndio matajiri wa Kenya yaani ndio wanamiliki njia kuu za uchumi lakini bado Ruto kaamua kuwavaa
 
Kenya waako hatua ya mbali sana kuanzia kuheshimu katiba na mgawanyo wa majukumu kwenye mihimili ya dola. Hapa kwetu ccm ni kama chatu, kameza si tu akili za wafuasi wake, bali mihimili mikuu ya dola ameigeuza mayai yake.
Una akili za kuku! Hamia Kenya.
 
Kenya waako hatua ya mbali sana kuanzia kuheshimu katiba na mgawanyo wa majukumu kwenye mihimili ya dola. Hapa kwetu ccm ni kama chatu, kameza si tu akili za wafuasi wake, bali mihimili mikuu ya dola ameigeuza mayai yake.
Umenena vyema ila umesahau kwetu wasome ni wengi na lundo la PhD lakini hawajaelimika.
 
Tangu IGP wa Kenya aliyekuwa ana kaimu kupigwa miezi SITA jela kwa kudharau mahakama, Tangu siku hiyo nahiheshimu mahakama ya Kenya.
Ilikua geresha tu ile, mbona hakwenda jela hata siku moja hadi leo yuko kwa kitaa!!
 
Huo ndio ukweli hapo haujaweka Kura za wakalenjin wenzake Ruto, wamasai, kwa wakamba pale kalonzo alishajiishia Hana ushawishi ndio maana akina Alfred mutua walisogezwa karibu, hesabu ya kuvunja domination ya wakikuyu ilipigwa vyema na Ruto na hiyo yote ni kumaliza mizizi ya familia ya kenyatta Kenya , kumbuka Raila atakua zake AU anajilia posho kibao , vijana wake akina joho wako barazani nao wanakula maisha , akina Aisha jumwa hawatoachwa wanapigwa ubalozi wakale maisha mbele ya safari ndio maisha yalivo , Gen Z ya Uhuru , gachagua na Jimmy wanjigi imekufa kibudu na haitokuja na amshaamsha tena zaidi wataandamana mlima Kenya kidogo halafu watakosa backup ya nchi nzima bado wataonekana wakabila maana wanatuhumiwa kwa ukabila, kwahiyo wachague kusuka ama kunyoa japo wao mlima ndio matajiri wa Kenya yaani ndio wanamiliki njia kuu za uchumi lakini bado Ruto kaamua kuwavaa
Ruto ana mahesabu ya mbali sana, na ni mtu wa kuthubutu kupita njia ngumu, hajawahi kuniangusha.
This time, Wakikutu wanaenda kubaki kwenye vitabu vya historia tu.
 
Ruto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokea
Ni mapema mno kuamua majaliwa ya Ruto Mwaka 2027.

Naomba kukumbusha:
1. Ushirikiano wa Ruto na Raila siyo mara ya kwanza sasa. Walishaungana dhidi ya Kibaki, kipindi ambapo Raila akawa Waziri Mkuu na Ruto kuwa Waziri wa Kilimo. Mwisho wa siku, Ruto alifukuzwa na Raila kwa kashfa.

2. Muungano wa UHURUTO uliishia pabaya wakati wa kipindi cha pili cha Uongozi wao.

3. Muungano wa Ruto na Gachagua una miaka miwili tuu, na sasa umekuwa historia.

4. Muungano mpywa (Reunion) wa Ruto na Raila, una safari ya Miaka 3 mbele kuivuka 2027.

Swali, kwa historia hii, bado unaimani na hakika ya kwamba marafiki wa leo (Ruto & Raila) wataendelea kuwa pamoja, bila kusalitiana ifikapo 2027?!!!

SIASA ZA KENYA ZIMEKUWA NGUMU KUTABIRIKA TANGU ALIVYONG'ATUKA MOI.
 
Back
Top Bottom