johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Gachagua kaangukia pua mahakamani 🐼Ukiamka bila kuoga halafu ukavaa vibaya lazima iwe hivyo, maigizo kama hayo yapo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gachagua kaangukia pua mahakamani 🐼Ukiamka bila kuoga halafu ukavaa vibaya lazima iwe hivyo, maigizo kama hayo yapo sana
Akienda mtaani nakupa laki keshi ukanywe biaMahakama imebwaga manyanga Kesho Seneti kumshughulikia Gachagua 😂
Duh!Chacha Mwita wa Kenya ana akili kuliko chacha Mwita wa taifa hili la wajinga na washenzi
🤣 🤣 🤣Ushindwe na ulegee!!!
Yes amepata haki ake anaweza kukata rufaa piaGachagua kaangukia pua mahakamani 🐼
Kwa hiyo kura walizopiga Wakenya kumchagua makamu wa Rais hazina maana sio ,Huko ndiko kuna mahakama siyo huku makada wa CCM wamepewa mahakama
Fuatailia mahakama imempiga chini hapo unasemaje we msukule ?Huko ndiko kuna mahakama siyo huku makada wa CCM wamepewa mahakama
Kwani haki ni lazima ushindi? huku utaweza kumshitaki Makamu au Mbunge?Kwa hiyo kura walizopiga Wakenya kumchagua makamu wa Rais hazina maana sio ,
Fuatailia mahakama imempiga chini hapo unasemaje we msukule ?
Kamera si hainasi kikwapa? Au watanukia ki kizimkazi, maana bi chura atakua kajifukiza!Ukiamka bila kuoga halafu ukavaa vibaya lazima iwe hivyo, maigizo kama hayo yapo sana
PerfumeKamera si hainasi kikwapa? Au watanukia ki kizimkazi, maana bi chura atakua kajifukiza!
Kitawaka muda si mrefu!!Hukumu inasomwa mubashara
Tazama Citizen TV
Update;
Ngoja tuoneKitawaka muda si mrefu!!
Huku hukumu ni handouts toka jumba jeupeHuko ndiko kuna mahakama siyo huku makada wa CCM wamepewa mahakama
Na wakimpeleka mtaani lazima kitawaka,watu wa mlima hawawezi kubali jamaa yao arudi kwa kitaa kirahisi rahisi tu!!kwa taarifa zakweli nilizonazo imebuma riggy j haendi mtaani i
kiburi kile,Na wakimpeleka mtaani lazima kitawaka,watu wa mlima hawawezi kubali jamaa yao arudi kwa kitaa kirahisi rahisi tu!!
ngoma hii ilitua mahakamani kimchongo ili riggy j apate MUDA wa kujadili lolote na ma senetaNa wakimpeleka mtaani lazima kitawaka,watu wa mlima hawawezi kubali jamaa yao arudi kwa kitaa kirahisi rahisi tu!!
Tutabaki kuangalia demokrasia ya wenzetu tu huku kwetu ccm wanaendelea kuharibu demokrasia.Hukumu inasomwa mubashara
Tazama Citizen TV
Update;
Kiwake wakati godfaza wao Kenyata keshabinywa kende,,,wakikinukisha ni kama wanaongeza petroli kwenye moto ulioanza kuwakaKitawaka muda si mrefu!!
Mkuu unamjua ruto unamskia ,,huyo riggy hwez rud kabisakwa taarifa zakweli nilizonazo imebuma riggy j haendi mtaani i
Dah nshchelewa hii [emoji23] najua hii anasepa kabisaAkienda mtaani nakupa laki keshi ukanywe bia