Ruto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokeaNgoja tuone
Mlimani kuna watu million 8 ππ
Ngoja tuone sababu Raila ni baba la Fitna πRuto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokea
Mkuu umeona mbali..[emoji23] ndivyo manguli wa siasa ya kenya wanasema hivi hiviRuto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokea
Huo ndio ukweli hapo haujaweka Kura za wakalenjin wenzake Ruto, wamasai, kwa wakamba pale kalonzo alishajiishia Hana ushawishi ndio maana akina Alfred mutua walisogezwa karibu, hesabu ya kuvunja domination ya wakikuyu ilipigwa vyema na Ruto na hiyo yote ni kumaliza mizizi ya familia ya kenyatta Kenya , kumbuka Raila atakua zake AU anajilia posho kibao , vijana wake akina joho wako barazani nao wanakula maisha , akina Aisha jumwa hawatoachwa wanapigwa ubalozi wakale maisha mbele ya safari ndio maisha yalivo , Gen Z ya Uhuru , gachagua na Jimmy wanjigi imekufa kibudu na haitokuja na amshaamsha tena zaidi wataandamana mlima Kenya kidogo halafu watakosa backup ya nchi nzima bado wataonekana wakabila maana wanatuhumiwa kwa ukabila, kwahiyo wachague kusuka ama kunyoa japo wao mlima ndio matajiri wa Kenya yaani ndio wanamiliki njia kuu za uchumi lakini bado Ruto kaamua kuwavaaMkuu umeona mbali..[emoji23] ndivyo manguli wa siasa ya kenya wanasema hivi hivi
Zinaprintiwa na akina KinanaHuku hukumu ni handouts toka jumba jeupe
Tunamshukuru raisTanzania haki ni hisani ya Rais na siyo takwa la kisheria
hatari snTunamshukuru rais
Una akili za kuku! Hamia Kenya.Kenya waako hatua ya mbali sana kuanzia kuheshimu katiba na mgawanyo wa majukumu kwenye mihimili ya dola. Hapa kwetu ccm ni kama chatu, kameza si tu akili za wafuasi wake, bali mihimili mikuu ya dola ameigeuza mayai yake.
Mbwa wangu ana adabu kukuzidi..so endelea kula vichwa vya kuku upate walao akili kama yeyeUna akili za kuku! Hamia Kenya.
Umenena vyema ila umesahau kwetu wasome ni wengi na lundo la PhD lakini hawajaelimika.Kenya waako hatua ya mbali sana kuanzia kuheshimu katiba na mgawanyo wa majukumu kwenye mihimili ya dola. Hapa kwetu ccm ni kama chatu, kameza si tu akili za wafuasi wake, bali mihimili mikuu ya dola ameigeuza mayai yake.
Kodi zetu la hasha,kila kitu rais kafanyahatari sn
Ilikua geresha tu ile, mbona hakwenda jela hata siku moja hadi leo yuko kwa kitaa!!Tangu IGP wa Kenya aliyekuwa ana kaimu kupigwa miezi SITA jela kwa kudharau mahakama, Tangu siku hiyo nahiheshimu mahakama ya Kenya.
Halafu yeye hakatwi kodiKodi zetu la hasha,kila kitu rais kafanya
Ruto ana mahesabu ya mbali sana, na ni mtu wa kuthubutu kupita njia ngumu, hajawahi kuniangusha.Huo ndio ukweli hapo haujaweka Kura za wakalenjin wenzake Ruto, wamasai, kwa wakamba pale kalonzo alishajiishia Hana ushawishi ndio maana akina Alfred mutua walisogezwa karibu, hesabu ya kuvunja domination ya wakikuyu ilipigwa vyema na Ruto na hiyo yote ni kumaliza mizizi ya familia ya kenyatta Kenya , kumbuka Raila atakua zake AU anajilia posho kibao , vijana wake akina joho wako barazani nao wanakula maisha , akina Aisha jumwa hawatoachwa wanapigwa ubalozi wakale maisha mbele ya safari ndio maisha yalivo , Gen Z ya Uhuru , gachagua na Jimmy wanjigi imekufa kibudu na haitokuja na amshaamsha tena zaidi wataandamana mlima Kenya kidogo halafu watakosa backup ya nchi nzima bado wataonekana wakabila maana wanatuhumiwa kwa ukabila, kwahiyo wachague kusuka ama kunyoa japo wao mlima ndio matajiri wa Kenya yaani ndio wanamiliki njia kuu za uchumi lakini bado Ruto kaamua kuwavaa
Ni mapema mno kuamua majaliwa ya Ruto Mwaka 2027.Ruto sio mjinga , anavuta kithure kindiki, Anne waiguru , anachukua Kura za wameru, wote akichukua Kura za wajaluo, waluhya, anagonga na Kura za pwani kule seneti spika wakutokea kilifi Amason kingi, tayari akina joho wako ndani ya nyumba , kwahiyo Raila atakua side ya Ruto na gachagua ataungana na Uhuru ambapo Kura zao hazitoshi , yaani mtu kama gachagua amshinde fitna Ruto ? Kamwe haiwezi kutokea