Pini kali zote za jf ni YANGA

Nakusaidia picha yao niliwakong'oli jana walivyokuwa wanaingia Taifa
 
Hahahaaa. Haya Mtani.

Ila kwani nini kinazuwia kunifungukia tu nikajua banaa maana mpaka ikija kufika huko si leo ujue. [emoji12][emoji12]

Au wataka nife na kihoro. Teh teh
Hahaha hapa hapana mtani, iko siku tutakutana uwanjani ujionee mwenyewe πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…