Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Elfu 7 si ukapimeCondom zenyewe zinauzwa 7,000 hadi 10,000 na tunanunua ndiyo sembuse hiyo elfu 1 kwa Pipi kifua 🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elfu 7 si ukapimeCondom zenyewe zinauzwa 7,000 hadi 10,000 na tunanunua ndiyo sembuse hiyo elfu 1 kwa Pipi kifua 🤪
Ugoogle wap we sema kweli😂😂😂Hii habari mpya ya kuuzwa buku ni shilingi 50 au 100 nafikiri
Matumiz yake wanaojua mapenzi wanasema kale kaubarid sijui kanafanyaje 😀😀Hebu ngoja nigoogle 😂😂
Ndugu, acha UMALAYACondom zenyewe zinauzwa 7,000 hadi 10,000 na tunanunua ndiyo sembuse hiyo elfu 1 kwa Pipi kifua 🤪
😂😂😂😂Kweli sijuiUgoogle wap we sema kweli😂😂😂
Haziongez nguvu kaka 😀Zinaongeza Nguvu?
Huu uongo umepitiliza!Jana nimeenda kununua nikakuta inauzwa 1000 nimeludi bila kugeuka jamn twambiane ni kwann zimepanda beiView attachment 2826674
Mkuu una uhakika na hilo?Ndugu, acha UMALAYA
Nitazingatia Mkuu, maana umri huu homa kidogo lazima upewe kitanda Hospitali 🤪Sawa sawa na pia kila asubhi usisahau kula tangawizi mkuu sawa....
Na hizo hazichelewi kupasuka iwapo utakamia kidogo show kama wasemavyo Vijana 🤪Yeah watu wanabisha wamezoea 3 buku😂😂
Sema siku izi tumetoka uko zama za kale,tumia asali Kwenye mbususu utakuja kunishukuru😂🤣🤣🤣🤣Njoo uzaramoni mdogo wangu.....utajua kazi yake
Uwongo huo uwongo huo huo ni uwongo😂😂😂😂😂😂😂Kweli sijui