Pipi kifua kuuzwa Tsh 1000

Pipi kifua kuuzwa Tsh 1000

Mie sijui 😂🤣
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪😳
 
Acha uongo,, pipi bei ile ile sh 50 za kitanzania.. ila nasikia zina namna yake ya kutumiwa kikubwa ‘mimi siijui.

Eti majirani? Nyie mnajua mtujuze? Amehlo Joannah Aaliyyah Lenie
Hii habari mpya ya kuuzwa buku ni shilingi 50 au 100 nafikiri
Matumiz yake wanaojua mapenzi wanasema kale kaubarid sijui kanafanyaje 😀😀Hebu ngoja nigoogle 😂😂
 
Ukimaliza kugoogle aunt angu share na mimi kuleeee 😂😂😂😂
Tukopi vya kukopika

Hii habari mpya ya kuuzwa buku ni shilingi 50 au 100 nafikiri
Matumiz yake wanaojua mapenzi wanasema kale kaubarid sijui kanafanyaje 😀😀Hebu ngoja nigoogle 😂😂
 
Kweli eti 😂😂😂 cha nyongeza
Dendalapipitajwahapojuulinaukaliwake…
Unajua hata bangi Mungu hakuiumba kimakosa..ila unapo misuse ndo Shida inakuja.. sasa Mmekuja na matumizi gani tena ya pipi zetu za kifua mnatukosea team jogging tuonekane wahovyoooo.. Oouk anyway nitalijaribu pia
 
Unajua hata bangi Mungu hakuiumba kimakosa..ila unapo misuse ndo Shida inakuja.. sasa Mmekuja na matumizi gani tena ya pipi zetu za kifua mnatukosea team jogging tuonekane wahovyoooo.. Oouk anyway nitalijaribu pia
Unajaribu ili uwe wa hovyo kabisa 🤣🤣🤣
 
_3f7aa618-ab94-451b-8788-e0906226b5e8.jpeg
 
Back
Top Bottom