Pishi la Biriani

Pishi la Biriani

wengine tupo kwenye mfungo jamani

sie kufutari bila wali au biriani pembeni hatuwezi kwa hiyo hata wewe unaweza kupika na uzuri inakuwa futari at the same time unapata daku
 
asante amu sasa sijajua hizo rangi za wali ndo zipi na zinaitwaje na je hiyo kuku uloelezea inafanana kama wanayoita chicken curry kiwatengu mpenzi utafaidije endapo ukiacha kutoka nje lakini

rangi ni food colour za kawaida unachanganya na maji kidogo ili kuiondoa kwenye powder form kuwa kwenye hali ya kimiminika exactly chicken curry my dear ka vionjo vya kiswahili
 
ha ha ha ha ha ha mwezi huu mbona wengi tunahama makazi tunaenda kufuturu makwetu yaani home mtu unarudi saa 5 usiku na kihotpot chako ulichoweka daku
usisahau kupitia feri kuwanunulia samaki na mazagazaga mengine
mimisa, Naja kulila wikiendi..pamoja na mlenda pembeni sawa!!!
amu, mwezi huu mtukufu kwa sie wa Zanzibar tuna raha sana..nina majirani zangu watatu, hajat wazuri tu...tangu jana nshaambiwa nsipike jioni!!!! #ntanenepajeeee
 
Hapa nilishanuna mie nikajua umepika ukaninyima.
Usicheke, mie napika hivi hiyo sosi ya kuku ama mbuzi. Ila wali wa pishori siupendiiii! Basi najipikia wali wangu wa kipogoro tena mchopeko, na sitii mirangi wala nini. Najilia kwa raha zangu! Kwani gormula formula za nini maisha yenyewe haya mafupi hivi!
 
ha ha ha hiyo inakuwa biriani colourless shosti unikaribishe
Hapa nilishanuna mie nikajua umepika ukaninyima.
Usicheke, mie napika hivi hiyo sosi ya kuku ama mbuzi. Ila wali wa pishori siupendiiii! Basi najipikia wali wangu wa kipogoro tena mchopeko, na sitii mirangi wala nini. Najilia kwa raha zangu! Kwani gormula formula za nini maisha yenyewe haya mafupi hivi!
 
Tuma maombi then nita short-list

ushaanza mambo yako..
hadi mume wa mtu uni short list?
hujaachaga tu ukorofi wako?

Mi nilitegemea ungeniambia niombe udhuru kwa wife,
mara nasikia tuma maombi..wakati wewe ndiyo muhitaji!!
 
ushaanza mambo yako..
hadi mume wa mtu uni short list?
hujaachaga tu ukorofi wako?

Mi nilitegemea ungeniambia niombe udhuru kwa wife,
mara nasikia tuma maombi..wakati wewe ndiyo muhitaji!!

Wewe si ndo umeomba nafasi ya kuja kupika au?
 
Hapa nilishanuna mie nikajua umepika ukaninyima.
Usicheke, mie napika hivi hiyo sosi ya kuku ama mbuzi. Ila wali wa pishori siupendiiii! Basi najipikia wali wangu wa kipogoro tena mchopeko, na sitii mirangi wala nini. Najilia kwa raha zangu! Kwani gormula formula za nini maisha yenyewe haya mafupi hivi!
rangi zenyewe mchina mtupuuu...sumu sthumu! bora uweke zabibu
 
ha ha ..haya karibiaa
na kufunga uwasaidie pia eti..ndo ujirani mwema ulivo
mimisa, Naja kulila wikiendi..pamoja na mlenda pembeni sawa!!!
amu, mwezi huu mtukufu kwa sie wa Zanzibar tuna raha sana..nina majirani zangu watatu, hajat wazuri tu...tangu jana nshaambiwa nsipike jioni!!!! #ntanenepajeeee
 
haya mpikie my dada mwaJ
Mdogo wangu amu asante sana kwa somo nitajapika birian siku nikiwa na muda wa kutulia jikoni. Ila huyo mwanangu snowhite ana kesi ya kujibu na nimenuna sana. Si unajua tena mama akikasirika? Labda aje anipikie birian labda ntafikiria kumsamehe.
 
Last edited by a moderator:
aiseeee amu
..................biriani kama hii shurti ishushiwe na kijichachandu kitaaamu na juice ya ukwaju! au unasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom