Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
biryani la kitimoto linawezekana????? tufundishe basi-shukurani
mimisa, Naja kulila wikiendi..pamoja na mlenda pembeni sawa!!!
amu, mwezi huu mtukufu kwa sie wa Zanzibar tuna raha sana..nina majirani zangu watatu, hajat wazuri tu...tangu jana nshaambiwa nsipike jioni!!!! #ntanenepajeeee
Hapa nilishanuna mie nikajua umepika ukaninyima.
Usicheke, mie napika hivi hiyo sosi ya kuku ama mbuzi. Ila wali wa pishori siupendiiii! Basi najipikia wali wangu wa kipogoro tena mchopeko, na sitii mirangi wala nini. Najilia kwa raha zangu! Kwani gormula formula za nini maisha yenyewe haya mafupi hivi!
KOKUTONA atakukaribisha wikiendi my dia
Njaa leo bana.......natafuta mtu wa kunipikia hili pishi ila awe mwanaume
should i come?
Tuma maombi then nita short-list
ushaanza mambo yako..
hadi mume wa mtu uni short list?
hujaachaga tu ukorofi wako?
Mi nilitegemea ungeniambia niombe udhuru kwa wife,
mara nasikia tuma maombi..wakati wewe ndiyo muhitaji!!
rangi zenyewe mchina mtupuuu...sumu sthumu! bora uweke zabibuHapa nilishanuna mie nikajua umepika ukaninyima.
Usicheke, mie napika hivi hiyo sosi ya kuku ama mbuzi. Ila wali wa pishori siupendiiii! Basi najipikia wali wangu wa kipogoro tena mchopeko, na sitii mirangi wala nini. Najilia kwa raha zangu! Kwani gormula formula za nini maisha yenyewe haya mafupi hivi!
mimisa, Naja kulila wikiendi..pamoja na mlenda pembeni sawa!!!
amu, mwezi huu mtukufu kwa sie wa Zanzibar tuna raha sana..nina majirani zangu watatu, hajat wazuri tu...tangu jana nshaambiwa nsipike jioni!!!! #ntanenepajeeee