Pishi la Biriani

Last edited by a moderator:
Hahahah pole

Maana nimecheka badala ya kusikitika



 

Vipi ubunge ulishagombea? Au zilikuwa hadithi tu baada ya habari
 
Vipi ubunge ulishagombea? Au zilikuwa hadithi tu baada ya habari
Wananchi waligoma kulinda kura...! Nikaenda na mafuriko....! Navizia viti vya nafasi za kuteuliwa na rais zile kumi za Ubunge.
 
Reactions: amu
Wananchi waligoma kulinda kura...! Nikaenda na mafuriko....! Navizia viti vya nafasi za kuteuliwa na rais zile kumi za Ubunge.

Basi hakuna namna inabidi ufanye mpango tukale biriani kwa amu
 
Last edited by a moderator:
Mtindi ndio unaoniangusha ila nikiweza kutengeneza mtindi Basi lazima nijaribu kulipika biriani.
Nalog off
 
Mtindi ndio unaoniangusha ila nikiweza kutengeneza mtindi Basi lazima nijaribu kulipika biriani.
Nalog off

Si ununue wa ready made? Au chukua maziwa ya ng'ombe fresh km 2 cups kamulia ndimu au limao yatakua mazito km mtindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…