Pishi la boga, nakosea wapi?

Hapo juu nimeona Evelyn Salt anasifia na magimbi πŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈπŸ™†β€β™€οΈ

Magimbi ni mabaya jamani loh!ama mi ndo nina taste mbaya ya chakula
Haujapata vike vigimbi vidogo nje kama vyeusi halafu ndani vina rangi flani ya purple....weee navipika kama viazi, au navikaanga kwa mafuta.

Au navichemsha kidogoo kisha nachovya Kwenye ngano yenye yai nakaanga vitamu πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Haujapata vike vigimbi vidogo nje kama vyeusi halafu ndani vina rangi flani ya purple....weee navipika kama viazi, au navikaanga kwa mafuta.

Au navichemsha kidogoo kisha nachovya Kwenye ngano yenye yai nakaa vitamu πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹


Vigimbi hivyo hivyo vidogo ndio navijua ila navyo siviwezi,tena yanakaangwa kumbe!!πŸ™†β€β™€οΈ

Vyakula jamii ya mizizi napenda mihogo tu
 
Boga nlikua nakula kipindi mdogo kwa kulazimishwa na mama, tangu nimekua sijala tena sikumbuki hata ladha yake. Hata kuchagua sokoni zuri lipi sijui.
 
Kama una kitu kinaitwa Air Fryer tumia hicho kulifanya liwe gumu, baada ya kuchemsha boga likaiva chukua vipande vyako weka huko kwa muda mfupi litakuwa unavyotaka.
 
Mchawi chumvi . Boga haliwekewi chumvi,pika hivyo hivyo bila kuweka chumvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…