Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Hapo juu nimeona Evelyn Salt anasifia na magimbi πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈDuuuh aseeh
Magimbi ni mabaya jamani loh!ama mi ndo nina taste mbaya ya chakula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo juu nimeona Evelyn Salt anasifia na magimbi πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈDuuuh aseeh
Haujapata vike vigimbi vidogo nje kama vyeusi halafu ndani vina rangi flani ya purple....weee navipika kama viazi, au navikaanga kwa mafuta.Hapo juu nimeona Evelyn Salt anasifia na magimbi πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Magimbi ni mabaya jamani loh!ama mi ndo nina taste mbaya ya chakula
Haujapata vike vigimbi vidogo nje kama vyeusi halafu ndani vina rangi flani ya purple....weee navipika kama viazi, au navikaanga kwa mafuta.
Au navichemsha kidogoo kisha nachovya Kwenye ngano yenye yai nakaa vitamu πππ
Yah huliwa na wairaq wanamix mahindi machanga na maboga very delicious .....ππππ Mmh boga na makande
Kama una kitu kinaitwa Air Fryer tumia hicho kulifanya liwe gumu, baada ya kuchemsha boga likaiva chukua vipande vyako weka huko kwa muda mfupi litakuwa unavyotaka.Wapishi wa humu nawasalimu.
Napenda sana kula boga, ila upishi wangu unanikatisha tamaa, nikinunua boga kwenye migahawa huwa nakula linakua zuri linakua na unga unga kama kiazi kitamu.
Ishu sasa nije nilipike mimi, linakua lina maji maji, yani linanyonya maji sijui likiiva nikiliweka kwenye sahani linavuja maji tu (mchuzi maji)... hata halivutii tena kula linakata stimu. Nakosea wapi?
Huwa naandaa hivi: nalikata vipande namenya maganda, naweka kwa sufuria, chumvi kidogo na maji kidogo nachemsha.
Ila matokeo ndio hayo mimaji, kuna upishi mwingine? Au nakosea kuchagua boga? ( Siku zote sijui tu kuchagua mmh).
Niliwahi kusikia linatakiwa kuanikwa kabla ya kupika, ni kweli?
Naombeni ujuzi.