Pishi la kibachelor

Pishi la kibachelor

Ha ha ha kumbe hujaacha tu....nimekuwekea na pweza lol :eyebrows:

Nimemuona pweza...hahahaha sijaacha bibi hivi unajua chaza? Nnao wa kukauka nnatafuta na pilipili mbuzi na glass la maji kwa raha zangu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nimemuona pweza...hahahaha sijaacha bibi hivi unajua chaza? Nnao wa kukauka nnatafuta na pilipili mbuzi na glass la maji kwa raha zangu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ha ha ha we mchokozi sana nirushie picha basi nishibe japo kwa macho!
 
Ha ha ha we mchokozi sana nirushie picha basi nishibe japo kwa macho!

Usije kulia tu au wewe sio mroho kama mimi lol? Waikumbuka ile story ya soup ya pweza? Lol


html>
<head><title>301 Moved Permanently</title></head>
<body bgcolor="white">
<center><h1>301 Moved Permanently</h1></center>
<hr><center>nginx</center>
</body>
</html>


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Usije kulia tu au wewe sio mroho kama mimi lol? Waikumbuka ile story ya soup ya pweza? Lol


html>
<head><title>301 Moved Permanently</title></head>
<body bgcolor="white">
<center><h1>301 Moved Permanently</h1></center>
<hr><center>nginx</center>
</body>
</html>


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
ha ha ha siwezi isahau ile loh ipo kwenye memory records!!
 
ha ha ha siwezi isahau ile loh ipo kwenye memory records!!

Hahahahaha kuna ya kachori basi nlipika kachori zina pilipili zikawashinda wakanisema ati nimefanya maksudi ili nile peke angu enzi zile kitumbo mbwi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Couscous
Weka couscous kiasi kwenye bakuli,napendelea kutumia whole wheat couscous.
Weka mafuta kijiko kimoja,chumvi kiasi na maji ya moTo ya funike couscous yote kama 2cm kisha funika.Funua baada ya dakika tano ukoroge mchanganyiko wako na ufunike tena.Ile couscous ikinyonya maji yote ujue vimeshaiva.
Kaanga nyama au kuku(filet) vilivyochanganywa na saumu,chumvi,pilipili manga na limau mpaka viive,unaweza kukatakata vipande vinaiva haraka.Au unaweza kuchoma mapaja ya kuku ukipendelea lakini vinachukua muda.
Weka pilipili hoho nyekundu,mbogamboga kama carrots zilizokatwa into boxes,njegere.mahindi na scallions kwenye mchanganyiko wa nyama.Kaanga dakika 10.Msosi tayari kwa kuliwa.
couscous.jpg
couc.jpg
 
Ndizi za kukaanga

Tambi

Mayai sema unayaunga na nyanya na kuweka baadhi ya recipe na ugali
ni fasta na rahisi
 
Usije kulia tu au wewe sio mroho kama mimi lol? Waikumbuka ile story ya soup ya pweza? Lol


html>
<head><title>301 Moved Permanently</title></head>
<body bgcolor="white">
<center><h1>301 Moved Permanently</h1></center>
<hr><center>nginx</center>
</body>
</html>


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

halafu unajua sioni picha!
 
Mbona hata sielewi!!! Everything is too complicated
 
I like this thread, but nimeishia kuona kama vyote viko complicated flani. All in all it is useful thread..
 
Couscous
Weka couscous kiasi kwenye bakuli,napendelea kutumia whole wheat couscous.
Weka mafuta kijiko kimoja,chumvi kiasi na maji ya moTo ya funike couscous yote kama 2cm kisha funika.Funua baada ya dakika tano ukoroge mchanganyiko wako na ufunike tena.Ile couscous ikinyonya maji yote ujue vimeshaiva.
Kaanga nyama au kuku(filet) vilivyochanganywa na saumu,chumvi,pilipili manga na limau mpaka viive,unaweza kukatakata vipande vinaiva haraka.Au unaweza kuchoma mapaja ya kuku ukipendelea lakini vinachukua muda.
Weka pilipili hoho nyekundu,mbogamboga kama carrots zilizokatwa into boxes,njegere.mahindi na scallions kwenye mchanganyiko wa nyama.Kaanga dakika 10.Msosi tayari kwa kuliwa.
View attachment 149316
View attachment 149317

Dada sijaelewa hiyo couscous ni nini??
 
Ndizi za kukaanga

Tambi

Mayai sema unayaunga na nyanya na kuweka baadhi ya recipe na ugali
ni fasta na rahisi

Katika fujo fujo zangu zote sijawahi kufikiria ndiz za kukaanga ngoja kesho usubuhi niingie sokoni nikorofishe.....
 
Back
Top Bottom