Sasa utaivisha vipi vitunguu na ingredients nyingine zinazotangulia kabla ya kuweka mboga?Mimi naona kupika kwa kutumia mafuta na karanga kwa wakati mmoja naona kama kiafya siyo!
Inapaswa kuwa kimojawapo kati ya mafuta au karanga tu na siyo vyote kwa wakati mmoja!
Ms changamoto ya mchanga unapambana nayo vipi?Kama ni laini unakata sema yasiwe makubwa sana
Sasa utaivisha vipi vitunguu na ingredients nyingine zinazotangulia kabla ya kuweka mboga?
Hizi mboga huwa ni tamu kinyama
Changamoto ni kwenye kukata vile vidogo vidogo...uvivu
Huu upishi unaotaja ni aina ya kuvukisha, ni sahihi pia...Ipo namna ya kufanya ilimradi uchague kimojawapo kati ya kutumia mafuta au karanga , nazi, n.k
Matharani kama unatumia karanga;
Unaweza kuchemsha kwanza mboga kisha wakati wa kuunga unaweka hivyo vingine vyote pamoja na karanga au vyote ukaweka mwanzoni kabisa baada ya kuosha na kukatakata mboga pamoja na hayo mazagazaga mengine na karanga pamoja!
Salaam JF,
Leo napenda kushea nanyie jikoni kwangu,jinsi ya kupka majani ya maboga yakawa matam bila kutumia gharama kubwa.
@Mahitaji
- majani ya maboga fungu1(kulingana na mahitaji ya familia yako)
- Nyanya kubwa 2,zlzoiva vzur
- kitunguu maji kikubwa kimoja
- unga wa Katanga
- mafuta ya kupkia kiasi
- chumvi.
b)jinsi ya kuandaa(kupka)
Kisha weka mboga yako,koroga na funika ichemke,ikikarbia kuiva weka chumvi na funika ichemke,baada ya hapo tayari kwa kuliwa kwa ugali au wali.
- osha vzur mbog,kisha zichambue na kuzikatakata.
- katakata nyanya na vitunguu.
- bandika sufuria jikon,weka mafuta na yakipata moto anza kukanga vitunguu,hakikisha haviwi brown ili viweze kuonekana kwenye mboga.
- weka nyanya na kukoroka,
- nyanya zkishaiva,chukua unga wakaranga vijiko4-5,koroga katika chombo ukiwaumeweka maji,kisha utaeka mchanganyo huu kwenye viungo vngne,koroga na funika kwa dakika 5,
NB: Chumvi tunaeka karbia na chakula kuiva ila kutokupoteza madini moto kwa kuchemka kwa muda mrefu.
Kwa mwenye kujazia karbun.
View attachment 1610888View attachment 1610902
Huu upishi unaotaja ni aina ya kuvukisha, ni sahihi pia...
Jinsi unavyobadili mbinu ya mapishi na ndivyo unavyopata ladha tofauti ya final product...
Aroma itayotoka kwenye kitunguu kilichokaangwa haitafanana na ile ya kitunguu kilichovukishwa...
Labda tuseme itategemea na motives behind sababu wewe kama kipaombele chako ni radha kwanza kwa mwingine ni kulinda afya kwanza kwa hiyo inategemea!
Sababu karanga zina mafuta, mafuta yana mafuta sasa kupika kwa kutumia mafuta amabyo Yana mafuta halafu ukaange Viungo kwa mafuta ni mafuta juu ya mafuta, umeona sasa mtu aneepuka kula mafuta mengi atapenda kutumia kimojawapo na siyo vyote kwa pamoja.
Zile chapati nilishanawa mikono,nimeshindwa na sina mpango wa kujaribu tena aseee😂😂😂yaani mdogo wangu hakuna pishi nitakuta hujalalamika, hivi chapatti tumeshaweza!?
osha na maji mengi kabla ujachambuaMs changamoto ya mchanga unapambana nayo vipi?
Huwa nafanya hivyo ila mchanga hujawahi kutoka woteosha na maji mengi kabla ujachambua
Mimi huipenda sana hii mboga na hujipikilisha mara nyingi tu, ukitaka pambana na mchanga weka maji mengi kwenye beseni ama ndoo kubwa kisha kamata majani yako matano mpaka nane yapikiche kwenye hayo maji (inataka muda wa kutosha), ukimaliza unachukuwa majani mengine hivyo hivyo mpaka unamaliza yote.Huwa nafanya hivyo ila mchanga hujawahi kutoka wote
Shukrani mkuuMimi huipenda sana hii mboga na hujipikilisha mara nyingi tu, ukitaka pambana na mchanga weka maji mengi kwenye beseni ama ndoo kubwa kisha kamata majani yako matano mpaka nane yapikiche kwenye hayo maji (inataka muda wa kutosha), ukimaliza unachukuwa majani mengine hivyo hivyo mpaka unamaliza yote.
True, unaweza kuweka kila kitu pamoja na Karanga bila mafuta ukapika kama chukuchuku flani hivi huwa nzuri pia badala ya Karanga ukaweka nazi.Mimi naona kupika kwa kutumia mafuta na karanga kwa wakati mmoja naona kama kiafya siyo!
Inapaswa kuwa kimojawapo kati ya mafuta au karanga tu na siyo vyote kwa wakati mmoja!
Itakua mchemsho w a kukatia kilakitu kwa wakati mmojaSasa utaivisha vipi vitunguu na ingredients nyingine zinazotangulia kabla ya kuweka mboga?
Labda kama anachemsha bila kukaanga chochote.Sasa utaivisha vipi vitunguu na ingredients nyingine zinazotangulia kabla ya kuweka mboga?
Aweze wapiyaani mdogo wangu hakuna pishi nitakuta hujalalamika, hivi chapatti tumeshaweza!?