Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Nakumiss pia mdogo wangu...uko mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumiss pia mdogo wangu...uko mzima
Nipo mzima mie dada mkubwa..!!Nakumiss pia mdogo wangu...uko mzima
Nunua vegetable chopper itaokoa muda wako.Hizi mboga huwa ni tamu kinyama
Changamoto ni kwenye kukata vile vidogo vidogo...uvivu
Inakuwa kama dawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii mboga isipowekwa karanga
Sijui naonaje
Zile chapati nilishanawa mikono,nimeshindwa na sina mpango wa kujaribu tena aseee😂😂😂
Hizi mboga nazipatia kupika,kukata kata tu ndio huwa mtihani
Mie round ya chapati naipata😂😂😂😂😂😂😂 Evelyn Salt alipiga tizi la nguvu siku hizi amekuwa fundi sana hata mduara anaweza kutengeneza bila shida View attachment 1811422
Kwakweli shukrani nyingi kwa mme wangu alinifundisha nikafundishika....😁😂😂😂😂😂😂😂 Evelyn Salt alipiga tizi la nguvu siku hizi amekuwa fundi sana hata mduara anaweza kutengeneza bila shida View attachment 1811422
Ule ukau kau shida ni ukandaji....Mie round ya chapati naipata
Changamoto ni ule ukau kau,ugumu na kupungua ama kuzidisha chumvi
Mie round ya chapati naipata
Changamoto ni ule ukau kau,ugumu na kupungua ama kuzidisha chumvi
Yaani nitaenda kutafuta hata iwe usiku .Inakuwa kama dawa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upate na ugali dagaa au samaki😋😋Salaam JF,
Leo napenda kushea nanyie jikoni kwangu,jinsi ya kupka majani ya maboga yakawa matam bila kutumia gharama kubwa.
@Mahitaji
- majani ya maboga fungu1(kulingana na mahitaji ya familia yako)
- Nyanya kubwa 2,zlzoiva vzur
- kitunguu maji kikubwa kimoja
- unga wa Katanga
- mafuta ya kupkia kiasi
- chumvi.
b)jinsi ya kuandaa(kupka)
Kisha weka mboga yako,koroga na funika ichemke,ikikarbia kuiva weka chumvi na funika ichemke,baada ya hapo tayari kwa kuliwa kwa ugali au wali.
- osha vzur mbog,kisha zichambue na kuzikatakata.
- katakata nyanya na vitunguu.
- bandika sufuria jikon,weka mafuta na yakipata moto anza kukanga vitunguu,hakikisha haviwi brown ili viweze kuonekana kwenye mboga.
- weka nyanya na kukoroka,
- nyanya zkishaiva,chukua unga wakaranga vijiko4-5,koroga katika chombo ukiwaumeweka maji,kisha utaeka mchanganyo huu kwenye viungo vngne,koroga na funika kwa dakika 5,
NB: Chumvi tunaeka karbia na chakula kuiva ila kutokupoteza madini moto kwa kuchemka kwa muda mrefu.
Kwa mwenye kujazia karbun.
View attachment 1610888View attachment 1610902