Pishi la mboga ya majani ya maboga

Pishi la mboga ya majani ya maboga

Aisee nimepata dada wa kazi Toka Tanga hili pishi la hii mboga alilopika sijawahi kulila kabisa
 
😂😂😂😂😂😂😂 Evelyn Salt alipiga tizi la nguvu siku hizi amekuwa fundi sana hata mduara anaweza kutengeneza bila shida
1623069773065.jpeg

Zile chapati nilishanawa mikono,nimeshindwa na sina mpango wa kujaribu tena aseee😂😂😂


Hizi mboga nazipatia kupika,kukata kata tu ndio huwa mtihani
 
Okay waulize mafundi kuhusu ukandaji wa unga. Ukiweza kujua hilo basi utakuwa fundi. Kuhusu chumvi hilo wala si la kukatisha tamaa.
Mie round ya chapati naipata

Changamoto ni ule ukau kau,ugumu na kupungua ama kuzidisha chumvi
 
Salaam JF,

Leo napenda kushea nanyie jikoni kwangu,jinsi ya kupka majani ya maboga yakawa matam bila kutumia gharama kubwa.

@Mahitaji
  • majani ya maboga fungu1(kulingana na mahitaji ya familia yako)
  • Nyanya kubwa 2,zlzoiva vzur
  • kitunguu maji kikubwa kimoja
  • unga wa Katanga
  • mafuta ya kupkia kiasi
  • chumvi.

b)jinsi ya kuandaa(kupka)
  • osha vzur mbog,kisha zichambue na kuzikatakata.
  • katakata nyanya na vitunguu.
  • bandika sufuria jikon,weka mafuta na yakipata moto anza kukanga vitunguu,hakikisha haviwi brown ili viweze kuonekana kwenye mboga.
  • weka nyanya na kukoroka,
  • nyanya zkishaiva,chukua unga wakaranga vijiko4-5,koroga katika chombo ukiwaumeweka maji,kisha utaeka mchanganyo huu kwenye viungo vngne,koroga na funika kwa dakika 5,
Kisha weka mboga yako,koroga na funika ichemke,ikikarbia kuiva weka chumvi na funika ichemke,baada ya hapo tayari kwa kuliwa kwa ugali au wali.

NB: Chumvi tunaeka karbia na chakula kuiva ila kutokupoteza madini moto kwa kuchemka kwa muda mrefu.
Kwa mwenye kujazia karbun.

View attachment 1610888View attachment 1610902
Upate na ugali dagaa au samaki😋😋
 
Back
Top Bottom