Pisi kali huwa mnajitambua kuwa nyinyi ni pisi kali?

Pisi kali huwa mnajitambua kuwa nyinyi ni pisi kali?

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Nauliza hivyo kwa sabab zifuatazo:

1. Pisi Kali wengi hawaolewi
2. Pisi Kali wengi wanapata wanaume wahuni wahuni tu ambao hawana nia ya kuoa
3. Pisi Kali wengi wanaishia kupigwa mimba tu bila ndoa za kueleweka.

Sasa kama wewe ni pisi kali na unajitambua kwanini usiolewe na mwanaume anaeleweka na ukaish kwa heshima? Badala yake mnaishia kuzarishwa na kubaki kuuza migahawa na kuwa bar maid.

Nawakaribisha njooni tuchangie mawazo juu ya hili suala. Ukifanya uchunguzi utaona kwamba Mama Ntilie weng ni wanawake wazuri kimuonekano lakini tunashangaa kwanini hawako kwenye ndoa, badala yake wameishia kuzarishwa tu.

Karibuni wadau
 
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa kunatatizo
Kuna pisi imekuzingua mkuu hapo mjini Nini?
Sisi huku vijijini pisikali Ni mwanamke mweupe + wesele wesele+ sura mashallah[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hivi hadi mtu umuite pisi kali inabidi awe na sifa zipi wakuu?
Kujiweka Safi tu
Vimavazi vizuri body la kutamanisha halafu usiwe cheap
Mfano
Ukiitwa unaenda kwa bodaboda (kama haitoshi unampigia aje nje akulipie bodaboda )
Unabomu vijihela vya kingese ngese kama elfu 10,20,5 (nyoko sana wewe)
Una vi element vya wizi wizi wa mapenzi yaani wewe ni mtu kitu sio mtu utu
Na mengine yanayoendana na hayo
Ukiona unavitabia hivyo oooh my friend ur finished
 
Kwahiyo mamantilie unawachukulia watu wa chini na hawastahili kuwa warembo sio? Pisi kali wanatakiwa wasiwe mamantilie wawe kina nani. Hao bar maids sijui maana huwa siendi
 
Back
Top Bottom