Pisi kali huwa mnajitambua kuwa nyinyi ni pisi kali?

Pisi kali huwa mnajitambua kuwa nyinyi ni pisi kali?

Why all that mkuu? Ili tu ujue kama ni pisi kali au mbovu? Nishajijua ni pisi mbovu haina haja ya picha mkuu
Wew inaonekana ni pis Kali,Ngoja ntumie mbinu zangu mpaka nkujue phisically,nkikuta ni pis Kali ntakutunuku mkuu
 
Thank you atleast umetufariji na sisi wabovu😂
😂😂😂 Hamna kitu kama hicho. Nimeshakutana na snap zako kule selfika, mbona unaonekana ni mwanamke classic kabisa, huo ubovu sikuuona kabisa, kwa sababu nilivyokuona ulikuwa chuma haswa cha kuvisha pete na kuweka ndani.
 
😂😂😂 Hamna kitu kama hicho. Nimeshakutana na snap zako kule selfika, mbona unaonekana ni mwanamke classic kabisa, huo ubovu sikuuona kabisa, kwa sababu nilivyokuona ulikuwa chuma haswa cha kuvisha pete na kuweka ndani.
Usidanganyike na snaps mkuu huwa tunapick picha zilizotokea vizurii tunaplus editing before kupost ujue😂
 
Usidanganyike na snaps mkuu huwa tunapick picha zilizotokea vizurii tunaplus editing before kupost ujue😂
Si kweli mkuu. Mtoto wa watu umekaa ki wife material kabisa halafu unataka kunidanganya?
Naamini hata aliye moyoni mwako haachi kukusifia kwa urembo wako. Vijana wa mjini ndiyo wanaita pisi kali.
 
Si kweli mkuu. Mtoto wa watu umekaa ki wife material kabisa halafu unataka kunidanganya?
Naamini hata aliye moyoni mwako haachi kukusifia kwa urembo wako. Vijana wa mjini ndiyo wanaita pisi kali.
Dah thank you mkuu, but why unanibishia wife material 😂 am not kabisa
 
Back
Top Bottom