financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Tunaovaa size 42, wakondefu ni pisi mbovu amašAnayevaa kiatu mwisho size 38.
Uwe mweupe flan na kipotabo, sio mkondefu. Bila kusahau katako mbinuko Kwa mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaovaa size 42, wakondefu ni pisi mbovu amašAnayevaa kiatu mwisho size 38.
Uwe mweupe flan na kipotabo, sio mkondefu. Bila kusahau katako mbinuko Kwa mbali.
Sebuleni how mkuu?Daah aisee pc kali wanaanzia sebuleni
Kama hiyo picha ni ya kwako kuna kakituAisee sina sifa hata moja hapo acha nikae pembeni tu[emoji849]
SuraSebuleni how mkuu?
Ooh am out if this is among vigezoSura
No si yangu hiyoKama hiyo picha ni ya kwako kuna kakitu
Hapana sijazinguliwa na pis Kali mkuu,nafanya utaft tu nijue ukweli kuhusu pis kali,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa kunatatizo
Kuna pisi imekuzingua mkuu hapo mjini Nini?
Sisi huku vijijini pisikali Ni mwanamke mweupe + wesele wesele+ sura mashallah[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Pamoja Sana umepotea sana hapa JF. Maana unajifichaga huku huku MMU[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana sijazinguliwa na pis Kali mkuu,nafanya utaft tu nijue ukweli kuhusu pis kali
Weka ya kwako tukupe pointsNo si yangu hiyo
Kumbe inakatazwa auditor?Kwann uweke ya mwngne??
Naona wewe unajikubali ndiyo maana umeweka hiyo sura yako ya herufiš¤ do you know the meaning of anonymity? Si kwamba watu hawajikubali.Kwa hyo wew hujikubali ???
Umeongea point Sana mkuu,yaan hawa pis Kali weng wao wanazeeka wakiwa na maisha mabaya Sana,maana kipnd Cha ujana wao wanachezewagwa Sana na wanaume mpaka wanakosa direction na wakielekea kuzeeka wanaachwa solembaMkuu hao ni vipuli vya dhahabu vilivyo kwenye pua ya nguruwe .....waache waendelee kugaragazwa kwenye matope [emoji1][emoji1][emoji1] japo wao wanasema eti wanapendwa hakuna mwanaume anae weza kuchomoa kwao...... Nina Dada zangu wengi Sana type hiyo maisha yamewapiga saizi wanamiliki vigrosary ila kwa grafu iliopo naona wanazidi kushuka chini Sasa sijui watadondokea wapi sijui kwenye pombe za kienyeji sijui wapi....?
Naona hutak tukujue Kama wew ni pis Kali au ya kawaida,,,,,Faida ya kuwa pis Kali ni kwamba huwez ukaachwa na mwanaume Ila wew ndo utawaacha,,,,ingawa wew Kuna kipnd ulikuwa unalalama kuhus kupgwa chin na meNaona wewe unajikubali ndiyo maana umeweka hiyo sura yako ya herufiš¤ do you know the meaning of anonymity? Si kwamba watu hawajikubali.
Ww nitumie pic yako nitakupa majibu kama umo au haumoHivi hadi mtu umuite pisi kali inabidi awe na sifa zipi wakuu?
Hapana nimeajiaassess nimejijua sina hizo sifaš¤Ww nitumie pic yako nitakupa majibu kama umo au haumo