Pisi kali huwa mnajitambua kuwa nyinyi ni pisi kali?

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kwa mama ntilie kuna mtaa nilikuwa naishi kuna mama ntilie kama watatu ni wazuri, wawili ni makamo yangu wote wamezalishwa mwengine ni mmama mtu mzima ana mshepu,basi wateja wake wana ya shikashika na kuyapiga vibao makalio. Hao wawili ndio wanatembeza papuchi, ila mmoja kaolewa mwaka jana ila sijui ndoa yake ina endeleaje.

Kulikuwa na mabinti wengine wawili wazuri kipindi nipo A-level gari zilikuwa zinapishana kuja kuwachukua, mwisho wa siku mmoja kazalishwa na bodaboda na mwengine kazalishwa na dereva wa bajaj mpaka tukashangaa manake tulitegemea labda wamezalishwa na watu wenye hadhi.
 
Kumbe
 
Unacheza nami kama Pele
Huyo mwanamke sina ule urafiki wa karibu kivile lakini ninamfahamu kikawaida anapenda Sana kuvaa nguo fupi ndio maana mapaja yake yanaonekana lakini sio kweli kwamba nimesex nae huo ndio ukweli wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…