Pisi kali za mtaani kwetu zimenishinda zinataka cent, vipi za mtaani kwenu?

Pisi kali za mtaani kwetu zimenishinda zinataka cent, vipi za mtaani kwenu?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447


 

Attachments

  • Kisa-Kababy-ft-Man-Fongo--PISI-KALI-420x330.jpg
    Kisa-Kababy-ft-Man-Fongo--PISI-KALI-420x330.jpg
    8.7 KB · Views: 9
  • DwXiEqJWkAANI25.jpg
    DwXiEqJWkAANI25.jpg
    25.6 KB · Views: 9
Katika umri huo wa kusubiri michongo.
Ukikisikiliza hicho kichwa cha chini a.k.a Abdullah kichwawazi jiandae kuzeeka kifukara
 
Huu mwandiko wa wale madogo wanaovaa soksi sendo na kibukta fulani hivii kifupi na leso imening'inia kama sio nyuma ya mfuko (makalioni)

Harafu tabia nyingine ya watu wenye huu mwandiko wanapenda sana chips, wakiwa kibandani utasikia
"kiongozi isikauke sana, weka kila kitu kasoro kachumbari, nyanya zenu hamjazichemsha mtanipa bakteria bure"

Kwa mwendo huo, pisi kali huziwezi dogo
 
Katika umri huo wa kusubiri michongo.
Ukikisikiliza hicho kichwa cha chini a.k.a Abdullah kichwawazi jiandae kuzeeka kifukara
Ssa mpaka kuzeeka leo mkuu!
Kula ujana huo acha uoga, utakosa cha kuwasimulia wajukuzo
 
Huu mwandiko wa wale madogo wanaovaa soksi sendo na kibukta fulani hivii kifupi na leso imening'inia kama sio nyuma ya mfuko (makalioni)

Harafu tabia nyingine ya watu wenye huu mwandiko wanapenda sana chips, wakiwa kibandani utasikia
"kiongozi isikauke sana, weka kila kitu kasoro kachumbari, nyanya zenu hamjazichemsha mtaniba bakteria bure"

Kwa mwendo huo, pisi kali huziwezi dogo
Mkuu inavyoonesha pisi kali zinakupuna sana
 
We huna hela unawataka wa nn unakata kumnunulia ped unataka atoe wap hela wakat umeshajikabidhisha we jamaa vp ww unataka umgonge ww then ahudumie mwingine mwisho wa siku ukiachwa unakuja kulialia apa
 
Habari zenu mabroh, masista, mashangazi, mabibi, mababu wanajamii forum wote kwa ujumla.

Moja kwa moja ktk mada.
Nimejaribu sana kuwa na maneno matamu na yenye mvuto kwa dada zetu lkn hatimae wanahitaj cent, nimewacklizisha sana ngoma za mboso na shaarukhan lkn mwish wa cku break up.

Chaajab na kinachoshangaza bad wanaish nyumban (kwa baba na mama) me unaniomba cent nilioipambania mchana kutwa we ya nini? Ukzngatia unalishwa unavishwa.

Utaskia oh hela ya pedi, cjui naomba zawad.
Duh! nmeamin sabab za umaskin pia ktk nchi yet pisi kali znahusika

Vp wakuu pande zenu vlevle wa moto au wamepoa, kama wamepoa kdg ck mojamoja tubadil upepo View attachment 1842457

View attachment 1842439
Nenda fb kwa watoto wenzako
 
Back
Top Bottom