habari ya leo, mama D
Huo sio uzalendo; kwa hiyo unashauri nikiishiwa na utamu nisipewe?πUkipenda kutumia nawe ukubali kutumiwa
Wewe unapenda utamu yeye anapenda pesa
Mpeeeeee
Leo siongeiWana macho makali sana; wanalenga waleti π
Unataka uanze kupiga pamba sasa sio? π€£π€£π€£Kwa sasa nimeshtuka, sitaki tena pisi kali, niacheni kwanza nami nivae nguo zinazong'aa, nionekane kijana; mambo ya kuonekana kama mzee mwenye miaka 90, sitaki tena huo ujinga.
Njoo uchukue, nipo hapa jirani π πPole sana, mie ya soda tu inanitosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nimekumissNjema Dr hyperkid
Kesho sikukuu, utakuwa wapi?Leo siongei
Mambo ya kuvaa mashati yanayovuka bega siyataki tena π πUnataka uanze kupiga pamba sasa sio? π€£π€£π€£
Ndio hivyo mkuu, kesho tutoke wote basi unipe mbinu za kivita π πWewe huyo kabisaaaa?πππ
π€£π€£π€£ wanawake hawana huruma mkuu kuna mwamba alijikuta amebaki na pair moja ya viatuMambo ya kuvaa mashati yanayovuka bega siyataki tena π π
Mtaani huo tukazitangizie bossWatakutana nazo huko mtaani
Hawana huruma na mtoto wa mwanamke mwenzao ππ€£π€£π€£ wanawake hawana huruma mkuu kuna mwamba alijikuta amebaki na pair moja ya viatu
Dah nawaza sana hapa nipe location mshikaji wangu wa nguvuKesho sikukuu, utakuwa wapi?
Hapa kuna pisi ya hapo magomeni inapiga simu kweli; siipokei sitaki kuchunwa tena ππMtaani huo tukazitangizie boss
Haya mambo magumu bana mi mwenyewe kesho kuna manzi kaniahidi utelezi najua tu nitapigwa kizinga ila lazima niende tu πHawana huruma na mtoto wa mwanamke mwenzao π
Mbinu za kufanyaje sasa kununua nguo au kutafuta pisikaliπππππNdio hivyo mkuu, kesho tutoke wote basi unipe mbinu za kivita π π