Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Kama kiasi gani kinatakiwa? 😀 😀 ; halafu kesho ni sikukuu, unaonaje tukitoka wote?Tafuta hela kijana pisi kali hazikimbiwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kiasi gani kinatakiwa? 😀 😀 ; halafu kesho ni sikukuu, unaonaje tukitoka wote?Tafuta hela kijana pisi kali hazikimbiwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sharing is caring bruh!Hapa kuna pisi ya hapo magomeni inapiga simu kweli; siipokei sitaki kuchunwa tena 😀😀
💯🤝Tafuta hela kijana pisi kali hazikimbiwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi navutiwa na pisi kali, asipokuwa pisi kali mnara hausomi 😀 😀Tafuta pisi zinazoendana na uwezo wako mkuu!
dronedrake turudi chamani ndugu,Leo nimejaribu kukagua nguo zangu zote, karibia robo tatu zimepauka na zimepoteza mng'ao wake; nikawa najiuliza, hivi ni mimi equation x ndio huwa navaa haya mavazi?
Ama kweli, pisi kali zinatufilisi sana; tunajikuta tunahonga sana na kusahau kupendezesha miili yetu.
Nilikuwa najiuliza, kwa nini warembo wengi wanakuwa wana ning'ang'ania ng'ang'ania, mbaya zaidi hawaniletei zawadi za mavazi wala nini, zaidi ya kuniletea staili zao za popo kanyea mbingu n.k; kumbe walikuwa wanaangalia urahisi wa kufungua waleti.
Kwa sasa nimeshtuka, sitaki tena pisi kali, niacheni kwanza nami nivae nguo zinazong'aa, nionekane kijana; mambo ya kuonekana kama mzee mwenye miaka 90, sitaki tena huo ujinga.
Leo nimejaribu kukagua nguo zangu zote, karibia robo tatu zimepauka na zimepoteza mng'ao wake; nikawa najiuliza, hivi ni mimi equation x ndio huwa navaa haya mavazi?
Ama kweli, pisi kali zinatufilisi sana; tunajikuta tunahonga sana na kusahau kupendezesha miili yetu.
Nilikuwa najiuliza, kwa nini warembo wengi wanakuwa wana ning'ang'ania ng'ang'ania, mbaya zaidi hawaniletei zawadi za mavazi wala nini, zaidi ya kuniletea staili zao za popo kanyea mbingu n.k; kumbe walikuwa wanaangalia urahisi wa kufungua waleti.
Kwa sasa nimeshtuka, sitaki tena pisi kali, niacheni kwanza nami nivae nguo zinazong'aa, nionekane kijana; mambo ya kuonekana kama mzee mwenye miaka 90, sitaki tena huo ujinga.
Haina shida mkuu; anaweza kukuacha na pea moja ya viatu vilivyoisha visiginoSharing is caring bruh!
tupe namba tu tuendelee kupausha nguo
Muhurumieni mwenzenu😂Wewe huyo kabisaaaa?😃😃😃
Zozote utakazopenda kunifundishaMbinu za kufanyaje sasa kununua nguo au kutafuta pisikali😃😃😃😂😂
Yaani 3k unaililia?nisharudi kitambo sana mkuu
nimetuma sana vocha za 3k
SASA BASI
Hizo 3k, ungezikusanya 10 hiyo ingekuwa shati mbili mpya kabisa mtumba grade A, karumenisharudi kitambo sana mkuu
nimetuma sana vocha za 3k
SASA BASI
Huwa inakuaga vice versa.Haina shida mkuu; anaweza kukuacha na pea moja ya viatu vilivyoisha visigino
Ukiona unaitiwa fursa, juwa wewe ndio fursa 😀Haya mambo magumu bana mi mwenyewe kesho kuna manzi kaniahidi utelezi najua tu nitapigwa kizinga ila lazima niende tu 😅
Wanaume tumeumbwa mateso mamaé
Nimelijua Hilo Nikasanuka MapemaHizo 3k, ungezikusanya 10 hiyo ingekuwa shati mbili mpya kabisa mtumba grade A, karume
Mi mwenyewe nina karibia ku surrender ila mazoezi yanasaidia. Ila hawa watu si poa 😕😕😕😕
😂😂😂😂,, huyu pisikali zipo damuni kabisa huyu sidhani kama ataweza kuacha 😂😂Muhurumieni mwenzenu😂
Kama kiasi gani kinatakiwa? 😀 😀 ; halafu kesho ni sikukuu, unaonaje tukitoka wote?
Mgonjwa na uji?😂😂😂😂,, huyu pisikali zipo damuni kabisa huyu sidhani kama ataweza kuacha 😂😂